Sunday, July 21, 2019

FURSA 33 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA KILIMO NA UFUGAJI --------------------" Fursa Afrika Mashariki Blog "

 Je, una   Malengo  ya Kufanya  biashara  kwenye   SEKTA  YA  KILIMO ? Tazama  FURSA  zilizopo  kwenye   Sekta  hii  unazoweza  kufanya   bila   MTAJI  mkubwa. SEKTA YA  KILIMO  na  Chakula , ni  moja  ya  biashara  muhimu  sana  kwa  wanadamu  kote  duniani   na  mahitaji  yake   yanaongezeka  kila  kukicha.Hakuna  siku  biashara  hii  itakuja  dorora  na  kuishiwa  FURSA , hii  ni  kwa  sababu  ya  ongezeko  kubwa   la  watu  duniani  hali  inayopelekea  mahitaji  ya  chakula  kuwa  makubwa  kuliko  jana  na  juzi.Hii  ni  sehemu   bora  ya  kutengeneza   mtonyo   mnene. UWEKEZAJI  kwenye  SEKTA  YA  KILIMO  hujumuisha  Kilimo  cha  Mazao  mbalimbali , uzalishaji  na  uuzaji  wa   mazao  mbalimbali  na  KILIMO.



MUHIMU : Ili   kuendelea  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  
'SEKTA  YA  KILIMO"jiunge   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

Ukishatuma  ADA  tuma  pia  EMAIL  yako  kwa  njia  ya  Meseji kuhusu  malipo tayari  kwa   kuunganishwa.


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

No comments:

Post a Comment