Saturday, August 31, 2019

BECOMING ENTERPRENUER : KWA NINI KUJIFUNZA NI KITU MUHIMU KWA MJASIRIAMALI ??

Kujifunza zaidi au kila siku ni kitu muhimu kwa mjasiriamali, sababu ujasirimali ni TAALUMA.
Ujasirimali hauishii tu ktk;
---kuanzisha Biashara
----kujiajiri mwenyewe
-----kuwa na uthubutu
-----kuwa na malengo
-------kuwa na wazo zuri la Biashara nk

--------Unahitaji kujifunza na kuwa na ujuzi ili uweze kuendesha na kusimamia miradi au Biashara zako ili ufanikiwe. Pia kuwa na skills utakazo tumia kukabiliana na changamoto zozote zitakazo jitokeza, kutafuta masoko ya bidhaa zako, jinsi ya kuwekeza, kutengeneza mpango Biashara, kusimamia wafanyakazi wako nk.
.
Huwezi kuwa mjasiriamali kama huja jifunza ujasiriamali, Kama ilivyo taaluma nyingine huwezi kuwa mjasiriamli kama huja jifunza au kupata mafunzo ya ujasiriamali.

DONDOO 05 ZA KUKUWEZESHA KUSOMA VITABU VINGI NA KWA URAHISI----------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

FURSA YA BIASHARA YA VIATU VYA MTUMBA--------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

FURSA YA BIASHARA YA UREMBO NA VIPODOZI -------------- " Fursa Afrika Mashariki "

Sunday, August 18, 2019

HAKUNA ANAYEKOSEA KWA MAKUSUDI.

Upo msingi wa ustoa ambao utakuwezesha kuishi maisha yako kwa utulivu bila ya kujali wengine wanasema au kufanya nini. Moja ya vitu ambavyo vinatusumbua sana zama hizi ni mambo ambayo wengine wanasema au wanafanya. Huwa tunayaruhusu yatuumize, tukiamini kwamba watu hao wanafanya mambo hayo kwa makusudi ili kutuumiza.
Lakini wastoa wanatuambia kwamba, watu wanaofanya mambo ambayo yanatuumiza, hawafanyi hivyo kwa makusudi, bali wanafanya hivyo kwa sababu hawajui kulicho sahihi kufanya. Hivyo hupaswi kuumia kwa sababu yao, badala yake unapaswa kuwaonea huruma na kuona kama kuna namna unaweza kumsaidia ili asiendelee kukosea.
Mfano mzuri ni pale mtoto mdogo anapokupiga kofi, je utarejesha kwa kumpiga kofi pia? Je utakasirika? Je utamnunia? Je utasema amekudharau? Majibu hapo ni hapana. Lakini vipi mtu mzima mwenzako akikupiga kofi? Hapo mambo yanabadilika, unaona amekudharau, utataka kulipiza, utakasirika na hata kumnunia. Lakini kama utachukulia mtu huyo amekupiga kofi kwa kutokujua au kwa bahati mbaya, hutapata hisia hizo.
Hivyo cha kujifunza hapa, tusikimbilie kuhukumu pale watu wanapofanya vitu kwamba ni vibaya au wamedhamiria kutuumiza. Badala yake tuchukulie kwamba watu hao hawajui wanachofanya au wamefanya kwa bahati mbaya, na hilo litatuzuia sisi kuumia.
Mfano mzuri ni kwenye wizi au utapeli, mtu akikuibia, badala ya kuumia, unapaswa kumwonea huruma, kwa sababu kwanza hajui njia sahihi ya kutengeneza kipato ambayo itampa maisha ya utulivu na pili, kwa tabia yake hiyo, ataishia jela au kaburini, maana ataiba akamatwe na wananchi wenye hasira kali hadi kufa, au apelekwe polisi na baadaye kufungwa. Unaona jinsi ambavyo unaondoka kwenye upande wa lawama na kuwa upande wa utulivu!

CHAGUA SHUJAA WA MAISHA YAKO.

Wastoa wamekuwa wanaelewa umuhimu wa kuwa na mashujaa, watu ambao tunayapima maisha yetu kupitia wao. Lakini hili ni eneo ambalo limekuwa na changamoto kubwa sana zama hizi, kwa sababu kumekuwa na mashujaa wengi feki. Siku hizi watu wanaoweza kutengeneza umaarufu rahisi kupitia mitandao ya kijamii, sanaa, michezo au siasa ndiyo wanaonekana mashujaa kwa wengi. Na wengi wanawafuata watu hao, lakini hakuna wanachojifunza kwa sababu mwisho wa siku umaarufu wa watu hao huanguka, kwa sababu haujajengwa kwenye misingi sahihi.
Ni muhimu uchague mashujaa sahihi wa maisha yako, kutokana na misingi wanayoiishi au waliyoiishi ambayo unaweza kujijengea kwenye maisha yako na ukaweza kupiga hatua pia. Kadiri unavyojifunza falsafa hii na kujifunza wengine walioiishi falsafa hii, utavutiwa na maisha ya baadhi ya wanafalsafa na kuwachagua kuwa mashujaa wako.

JINSI YA KUKABILIANA NA MABADILIKO MAKUBWA YA MAISHA KIAFYA.

Kuna wakati tunakutana na mabadiliko makubwa kimaisha kwenye afya zetu. mabadiliko haya yanaweza kutuyumbisha sana kama hatuna msingi sahihi tunaouishi. Mfano ni pale mtu anapopata ulemavu wa mwili ambao unaathiri maisha na hata kazi za mtu. Wengi huvurugwa sana na mabadiliko ya aina hii, kitu ambacho hupelekea maisha yao kudorora na hata kufa mapema.
Wastoa wanatupa njia sahihi ya kukabiliana na mabadiliko ya aina hii, kwa kutuambia tunapaswa kufikiria na kutumia kile tulichonacho na siyo kuangalia tumekosa nini. Kama umepata ulemavu wa miguu, kumbuka bado una mikono, macho, masikio, na viungo vingine, ambavyo kama utaweza kuvitumia vizuri maisha yako yatakuwa bora.
Mmoja wa wanafalsafa wa Ustoa, Epictetus, ambaye alikuwa mwalimu bora sana wa falsafa hii, alikuwa mtumwa. Katika maisha yake ya utumwa, aliumizwa na kupata ulemavu wa miguu. Hili lilimpa ulemavu wa maisha, lakini hakuruhusu ulemavu huo uathiri maisha yake, aliangalia mambo gani mengine anayoweza kufanya, kama kujifunza na kufundisha falsafa na siyo kuangalia alichokosa.
Somo muhimu la kuondoka nalo hapa ni usiweke nguvu zako kwenye yale uliyokosa au kupoteza, badala yake weka nguvu zako kwenye yale uliyonayo na jinsi unavyoweza kuyatumia kwa ubora zaidi.

FALSAFA YA USTOA NA UTAJIRI.

Kwenye Falsafa ya Ustoa, vitu vimegawanyika katika makundi matatu;
Kundi la kwanza ni vitu vizuri kufanya au kuwa navyo (virtues), ambavyo ni vinne; hekima, ujasiri, haki na kiasi.
Kundi la pili ni vitu vibaya kufanya au kuwa navyo (vices), ambavyo ni kinyume na hivyo vizuri, yaani, upumbavu, woga, udhalimu na tamaa.
Kundi la tatu ni vitu ambavyo siyo vizuri na wala siyo vibaya (indifferent), ambavyo hakuna ubaya kuwa navyo, lakini pia hupaswi kujitesa ili kuwa navyo. Hapa vitu vingine vyote kwenye maisha vinaingia hapo, kuanzia afya, kazi, biashara, fedha na kadhalika.
Sasa kwa misingi ya ustoa, wengi hufikiri inawataka wawe masikini, watu wasiojali fedha wala utajiri. Lakini katika historia, moja ya wanafalsafa waliokuwa na maisha mazuri basi ni wastoa. Seneca alikuwa tajiri mkubwa enzi zake na mwanasiasa, Marcus Aurelius alikuwa mtawala wa Roma. Kwa kifupi wastoa walijihusisha na maisha ya kila siku na ya kawaida, wakifanya yale ambayo kila mtu anafanya.
Na hii ni sababu nyingine nzuri kwa nini tunapaswa kuwa wastoa, kwa sababu ni falsafa ambayo haipingi mtu kuwa na fedha, au kujihusisha na mambo mengine, kama tu hayavunji msingi wa wema.
Zipo baadhi ya dini na falsafa ambazo zinawafundisha wafuasi wake kuachana kabisa na mambo ya dunia, kutoa maisha yao kwa ajili ya falsafa au Mungu pekee. Lakini wote tunajua maisha yana mahitaji yake, hutaenda kulipa ada za watoto kwa falsafa, na wala hutaenda dukani kupata chakula kwa kusema wewe ni mwanafalsafa.
Hivyo kwa kuishi kwa falsafa ya ustoa, unakuwa huru kufanya upendacho, ila tu kiwe sahihi kwako na kwa wengine, na pia unakuwa huru kujikusanyia fedha utakavyo, ila tu ufanye hivyo kwa usahihi na kwa manufaa ya wengine pia.
Na kikubwa nilichojifunza ni kwamba ukiishi misingi ya falsafa ya ustoa, una nafasi kubwa ya kuwa tajiri, lakini pia utakuwa huru na utajiri huo. Kwa sababu kwanza utakuwa unafanya kilicho sahihi na kuachana na yasiyo sahihi, pia utaepuka kufanya mambo ambayo yatakupotezea fedha, kwa kudhibiti vizuri hisia zako. Lakini kilicho muhimu zaidi ni kwamba hutafungwa na utajiri wako, hata kama utapoteza kila kitu, bado utabaki imara na maisha yako yataendelea.
Naweza kuhitimisha kwa kusema, Ustoa ni falsafa ya watu wakuu na matajiri, najua unapenda kuwa mkuu, unapenda kuwa tajiri na kuwa huru na maisha yako, hivyo basi, ijue na kuiishi misingi ya ustoa.

KUHUSU KIFO NA KUJIUA.

Moja ya vitu ambavyo vimekuwa vinawasumbua watu wengi n kifo. Wote tunajua kuna siku tutakufa, lakini hatutaki kufikiria wala kupata picha ya kifo chetu. Kadhalika tunajua wale watu wa karibu kwetu, ambao tunawapenda sana kuna siku watakufa. Lakini huwa hatufikirii wala kupata picha ya vifo vyao. Kinachotokea ni tunakutana na vifo ghafla na vinatuumiza sana.
Wastoa wana maeneo matatu ya kuzingatia kuhusu kifo.
Kwanza ni kifo chako mwenyewe, ambapo wastoa wanasema hakuna sababu ya kukiogopa kifo, kwa sababu ni sehemu ya maisha yako na kinaweza kutokea muda wowote. Hivyo wakati wowote unapaswa kuwa tayari kukikabili kifo. Inapofanya jambo lolote, lifanye kama ndiyo mara ya mwisho kwako kulifanya, kama vile kifo kinakusubiri. Kwa njia hii hutaahirisha jambo lolote muhimu na utafanya mambo kwa usahihi. Wastoa wanasema kama unaogopa kifo, maana yake bado hujaanza kuishi. Lakini kama utachagua kuishi maisha yako, kifo hakitakusumbua, kwa sababu wakati wowote utakuwa tayari.
Mbili ni vifo vya watu wa karibu kwetu. Wazazi wetu, watoto wengu, wenzi wetu na ndugu wengine ni watu tunaowapenda na kuwajali sana. Inapotokea wamefariki dunia, huwa tunaumia, tunalia na kuhuzunika sana. Kwa wengine vifo vya watu wao wa karibu huwa vinawavuruga sana, vinaishia kuwapa magonjwa ya akili. Wastoa wanatuambia vifo vya watu wa karibu kwetu vinatuumiza kwa sababu vinatukuta hatujajiandaa. Wanatuambia kila unapoongea au kukutana na mtu wako wa karibu, jiambie kimoyomoyo kwamba hiyo ni mara ya mwisho kukutana naye. Epictetus anatuambia kila unapombusu mtoto wako, jiambie unambusu mtu ambaye anaweza kufa muda wowote. Kwa kuchukulia hivi, utajali sana, kwa sababu unajua mtu anaweza kupotea muda wowote, na hilo linapotokea utaumia, lakini halitakuvuruga, kwa sababu ni kitu ambacho ulijua kitatokea, a pia ulishatumia fursa ulizokuwa nazo kabla mtu huyo hajafariki.
Tatu ni kujiua. Wastoa wa zamani, wengi waliishia kujiua wenyewe au kupewa adhabu ya kifo. Hii ilitokana na tawala za kidhalimu zilizokuwepo enzi hizo na wastoa hawakuogopa kuzisema na kuzipinga. Hilo liliwafanya wawekwe vizuizini, kufukuzwa au kuhukumiwa kufa. Wastoa walikuwa wakipokea adhabu hizo bila ya kuruhusu ziharibu utulivu wao wa ndani. Mfano mstoa alipohukumiwa kifo, alikipokea kama sehemu ya maisha na kusimamia misingi yake. Lakini pia wapo wastoa ambao walipofika mwisho wa maisha yao, yaani uzee na kuona wameshakamilisha jukumu lao la maisha, basi walijiua. Hii ni dhana ambayo ilikuja kupotea, lakini zama hizi imeanza kurudi. Wapo watu ambao wanachagua kuyakatisha maisha yao kwa sababu mbalimbali. Hapa hatuzungumzii wale wanaojiua kukimbia majukumu au matatizo waliyosababisha, bali wale ambao wanaona imetosha sasa na wanataka kupumzika. Hilo pia ni zoezi la kistoa.

MATAWI MATATU YA FALSAFA YA USTOA.

Falsafa ya ustoa inafananishwa na mti ambao una vitu vitatu ili uweze kuwa mti. Mti una mizizi ambayo inaupa uimara na virutubisho, shina ambalo linahifadhi chakula na kutoa umbo na matawi ambayo yanatengeneza chakula na kuvuta hewa.
Falsafa ya ustoa ina matawi matatu;
Moja ni fizikia (physics), hili ni tawi linalojihusisha na sayansi ya asili, jinsi dunia ilivyo na inavyojiendesha. Hii ndiyo mizizi ya falsafa hii.
Mbili ni maadili (ethics), hili ni tawi ambalo linaipa falsafa hii msimamo, jinsi ya kuishi na kujihusisha na wengine. Hili ndiyo shina la falsafa hii.
Tatu ni mantiki (logic), hili ni tawi ambalo linahusika na kufikiri pamoja na kufanya maamuzi sahihi. Haya ndiyo matawi ya falsafa hii.
Ili maisha yetu yakamilike, lazima tuwe vizuri kwenye maeneo hayo matatu, kuijua dunia na hapa tunapaswa kuwa na ujasiri na kiasi, kuwa na maadili tunayoyaishi ambapo tunapaswa kuwa watu wa haki na mwisho kutumia akili zetu kufikiri, ambapo tutaweza kuwa na hekima.
Ukiona hapo, matawi matatu ya ustoa ambayo ni FIZIKIA, MAADILI NA MANTIKI, ndiyo yanazalisha misingi mikuu minne ya ustoa ambayo ni HEKIMA, UJASIRI, HAKI NA KIASI. Kwa kifupi, falsafa nzima ya Ustoa imejumuishwa kwenye sentensi hiyo.

FALSAFA YA USTOA

Falsafa ya Ustoa ilianza miaka 300 kabla ya Kristo ambapo Zeno, mwanzilishi wa falsafa ambaye kwa wakati huo alikuwa mfanya biashara alikuwa safarini na chombo chake kikaharibika akiwa Athens Ugiriki. Akiwa hapo Athens, alitembelea maktaba na kuperuzi maandiko yaliyokuwepo, alikutana na mafunzo ya Socrates na yakamvutia sana. Akamuuliza mhusika wa maktaba ile, ni wapi anaweza kuwapata watu ambapo atajifunza zaidi kuhusu falsafa, na hapo akaoneshwa mwanafalsafa Crates na akamfuata, hapo ndipo safari yake ya kujifunza na kuwa mwanafalsafa ilipoanzia.
Zeno alijifunza kupitia Crates ambaye alikuwa kwenye shule ya falsafa inayoitwa Cynics, ambao ni watu ambao hawakujali kuhusu chochote, waliishi maisha kwa wakati waliokuwa nao na walihoji na kutilia mashaka kila kitu.
Baada ya kujifunza kwenye falsafa hii kwa muda, Zeno aliona falsafa ya Cynics ilikuwa na mapungufu, kwa sababu huwezi kupuuza kila kitu kuhusu maisha na ukawa na maisha bora. Hivyo alianzisha shule yake ya falsafa, ambapo alikuwa akifundisha chini ya mti ulioitwa stoa. Na hapo ndipo jina la Ustoa (Stoicism) lilipoanzia.
Tangu kipindi cha Zeno, pamekuwepo wanafalsafa ambao wameiendeleza na kuikuza zaidi falsafa hii ya zeno. Wanafalsafa kama Cato, Musonius Rufus, Seneca, Epictetus na Marcus Aurelius kwa nyakati tofauti waliishi na kufundisha falsafa hii.

UNAHITAJI FALSAFA YA MAISHA.

Zamani za kale, wakati binadamu wanajifunza kuwa na makazi ya kudumu, watu walijenga nyumba zao bila ya misingi. Lakini walijifunza somo moja kubwa sana, kwamba kipindi cha dhoruba mbalimbali kama mvua, kimbunga na tetemeko, nyumba hizo zilibomoka haraka sana. Hivyo wakajifunza kwamba ili nyumba iwe imara na idumu, basi inapaswa kuanza kujengwa kwa msingi imara. Na mpaka sasa wahandisi wote wanajua kwamba nyumba imara inaanza na msingi imara. Na kadiri nyumba inavyopaswa kuwa kubwa, ndivyo msingi unavyopaswa kuwa imara zaidi. Mfano, msingi wa nyumba ya kawaida hauwezi kufanana na msingi wa nyumba ya ghorofa.
Hivi pia ndivyo ilivyo kwenye maisha yetu. Kwenye maisha tunakutana na dhoruba mbalimbali. Kuna kuugua, kuvunjika kwa mahusiano, kufukuzwa kazi, kufilisika kibiashara, kufa kwa watu wetu wa karibu na hata sisi wenyewe kufa. Dhoruba hizi huwa zina madhara tofauti kwa watu tofauti. Kuna watu wanapokutana na dhoruba za maisha zinawayumbisha sana na kuvuruga kabisa maisha yao. Lakini wapo wengine ambao wanakutana na dhoruba kali za maisha lakini maisha yao hayayumbi.
Kinachowatofautisha watu hao wa aina mbili ni msingi ambao wamejijengea. Kwenye nyumba tumeona msingi wa kuanza, kwenye maisha yetu, msingi muhimu sana ni falsafa ambayo mtu anakuwa nayo juu ya maisha. Falsafa unayokuwa nayo, ndiyo inapima kiasi gani dhoruba unazokutana nazo kwenye maisha. Kama huna falsafa unayoiishi na kuisimamia, dhoruba ndogo kama biashara kufilisika inatosha kukuvuruga kabisa. Lakini kama una falsafa unayoiishi, dhoruba kubwa kama kuhukumiwa kifo, inakufanya uwe imara na kuyafurahia maisha yako mpaka dakika ya mwisho.
Hii ni kukuambia wewe rafiki yangu kwamba unapaswa kuwa na falsafa ya maisha yako, falsafa ambayo unaitumia kama msingi wako wa kufanya maamuzi na kuendesha maisha yako. Falsafa ambayo itakuwezesha kukabiliana na dhoruba za maisha, ambazo kadiri siku zinavyokwenda zinazidi kuwa kali zaidi.
Dini zilipaswa kuwa msingi wetu kwenye changamoto hizi za maisha, lakini dini nyingi zimesahau jukumu hilo, na badala yake zimekuwa sehemu ya kuwapa watu hofu zaidi ya maisha kuliko matumaini. Dini zimekuwa zinaweka nguvu kubwa kwenye kuwaandaa watu kwa maisha yajayo (baada ya kifo) kuliko maisha waliyonayo sasa. Japokuwa unahitaji maandalizi ya maisha yajayo (kulingana na imani yako), lakini kitu muhimu sana unachohitaji ni maandalizi ya maisha unayoishi sasa, maana hayo ndiyo yanayokujenga au kukubomoa.
Kwa kuwa dini zimeshindwa kufanya kazi ambayo tulitegemea zifanye, kutujenga na kutuandaa kwa maisha ya sasa na kuweza kukabiliana na dhoruba tunazokutana nazo kwenye maisha yetu ya kila siku, basi linabaki kuwa jukumu la kila mmoja wetu kuwa na falsafa ya maisha, ambayo ataitumia kuendesha maisha yake.
Kukaa chini na kutengeneza falsafa yako mwenyewe ni kazi kubwa, inakuhitaji ujaribu na kukosea vitu vingi, kitu ambacho huna muda wala nguvu za kufanya, maana changamoto zinazokukabili ni nyingi.
Hivyo suluhisho ni wewe kujifunza falsafa zilizopo, na kisha kuchagua ile ambayo itakufaa wewe katika kuendesha maisha yako.
Zipo falsafa nyingi ambazo zinatokana na wanafalsafa mbalimbali kama Socrates, Plato, Aristotle, Epicurus, Zeno na wengineo.

Tuesday, August 13, 2019

JE, UMEKWAMA KATIKA SAFARI YAKO YA MAFANIKIO ? HII NDIYO NJIA PEKEE YA KUTOKA HAPO ULIPOKWAMA NA KUFANIKIWA ZAIDI------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

ELIMU YA DARASANI INAPOKWAMA.

“In the new world of sales, being able to ask the right questions is more valuable than producing the right answers. Unfortunately, our schools often have the opposite emphasis. They teach us how to answer, but not how to ask.” ― Daniel H. Pink
Kwenye ulimwengu mpya wa mauzo, kuuliza maswali sahihi ni bora kuliko kuwa na majibu sahihi. Kwa sababu tayari mteja anajua mengi zaidi, jukumu lako kama muuzaji ni kuuliza maswali yatakayokupa wewe fursa ya kumjua mteja zaidi.

Lakini kwa bahati mbaya sana, elimu ya darasani iko kinyume na hili. Miaka yote ambayo tumekaa shuleni tumekuwa tunafundishwa jinsi ya kujibu maswali ili kufaulu mtihani. Hivyo unakuwa vizuri sana kwenye kujibu maswali, lakini unapofika mtaani unakuta tayari kila mtu ana majibu. Hivyo elimu ya darasani inakwama hapo.

Ili kupiga hatua kwenye kitu chochote unachofanya kwenye maisha yako, jifunze jinsi ya kuuliza maswali sahihi, maswali ambayo yatakupa nafasi ya kumjua mtu zaidi na mahitaji yake, ili uweze kumhudumia zaidi.

Kadiri unavyoweza kuuliza maswali sahihi na kusikiliza kwa makini majibu yanayotolewa, ndivyo unavyoweza kujifunza na kujua hatua sahihi za kuchukua.

KAMA UNATAKA PESA UZA ZAIDI ---------------Elimu Ya Msingi Ya Fedha

Kama kipato chako ni kidogo na hakitoshelezi, tatizo lako kubwa ni moja, unauza kidogo. Na ili kuondoka kwenye hali hiyo ya kipato kidogo na kisichotosheleza unahitaji kuchukua hatua moja; KUUZA ZAIDI.

Usiniambie wewe umeajiriwa na hivyo huwezi kuuza zaidi, kumbuka kuna kitu ambacho unamuuzia mwajiri wako, sasa muuzie hicho zaidi. Mfano moja ya vitu unamuuzia mwajiri wako ni muda wako. Hivyo kuna muda wa makubaliano wa kufanya kazi kwa siku na kwa juma. Sasa wewe muuzie mwajiri wako muda zaidi, kwa kuweka muda wa ziada kwenye majukumu ambayo ni muhimu kwa mwajiri lakini yanakosa muda wa kufanyika. Kadhalika kwenye ujuzi na uzoefu wako, ambavyo ni vitu vingine unavyomuuzia mwajiri wako, jiulize ni wapi mwajiri ana uhitaji au changamoto na wewe unaweza kusaidia zaidi, kisha mshawishi akupe nafasi hiyo kwa mbinu za mauzo ambazo umejifunza.

Kila mtu anaweza kuuza zaidi, na hilo ndiyo suluhisho la kifedha kwa kila aliyekwama.

Unaweza kuuza zaidi kwa wateja ulionao sasa, hapa unawapa bidhaa au huduma ambayo hukuwa nayo awali. Ni njia rahisi kuanzia kwa sababu wateja ulionao tayari wanakujua hivyo hawana wasiwasi sana na wewe.

Lakini pia unaweza kuuza zaidi kwa kuwafikia wateja wapya. Hapa unatafuta wateja ambao bado hawajanufaika na bidhaa au huduma zako kisha unawashawishi wanunue, hivyo unaongeza wateja na mauzo pia.

Kwa vyovyote vile, kila wakati kazana kuuza zaidi, kwa wateja ulionao sasa wauzie zaidi ya wanavyonunua sasa na pia wafikie wateja wapya ambao hawajawahi kununua kwako.

MAMBO MUHIMU YA KUJIFUNZA NA KUYAFANYIA KAZI ILI KUUZA ZAIDI ---------------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

Saturday, August 10, 2019

HATUA 08 ZA KUJENGA BIASHARA YENYE MAFANIKIO MAKUBWA-------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

FURSA 16 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA ULINZI NA USALAMA----------------" Fursa Afrika Mashariki Blog "

SEKTA  YA  ULINZI  ni  nyeti   sana  kulingana  na  umuhimu  wake  wa  kuleta   usalama  na   maeneo  mbalimbali. Kukithiri  kwa   vitendo   vya   ugaidi , ujambazi , wizi  na   unyang"anyi   umepelekea  serikali , watu, mashirika  na  makampuni  mengi  kubuni   mbinu  kadha  wa   kadha  katika  kuimarisha   ulinzi. Kujua fursa  unazoweza  kufanya  kwenye   sekta  hii  ya    ulinzi , tafadhali  endelea  kusoma  zaidi.Ili  kufahamu   baadhi  ya   FURSA  zilizopo   kwenye  sekta  hii   unazoweza  kuwekeza , tafadhali ,  endelea  kusoma na kufuatana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.
( DARASA   LA  GOOGLE )


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  SEKTA  YA  ULINZI  NA  USALAMA"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--ONLINE--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

FURSA 24 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA UREMBO NA MITINDO --------------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

Swala  la  urembo   ni  swala  mtambuka  sana. Urembo   unajumuisha   vitu   kama   vile  mavazi , nywele , muonekano  wa   ngozi , sabuni , mafuta , mapambo  na  vipodozi. Kama  upo  kwenye  sekta  hii  au   unataka  kuanzisha   FURSA  yoyote   inayohusika   na   mambo  ya  urembo , basi  karibu  usome  baadhi   ya  FURSA  nyeti  zinazopatikana  hapa.Ili  kufahamu   baadhi  ya   FURSA  zilizopo   kwenye  sekta  hii   unazoweza  kuwekeza , tafadhali ,  endelea  kusoma na kufuatana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.
( DARASA   LA  GOOGLE )


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  SEKTA  YA  UREMBO   NA  MITINDO"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

Friday, August 9, 2019

HOW TO WRITE COPY THAT SELLS----BY RAY EDWARDS

HII NDIYO NGUZO MUHIMU KWA KIONGOZI YEYOTE YULE

Mpendwa rafiki yangu,  Mdau  wangu
Unapokuwa kiongozi unakuwa na mamlaka makubwa juu yaw engine, una uwezo wa kuamuru chochote  na kikafanyika. Hivyo basi, kama ukisema utumie mamlaka hayo vibaya lazima utaharibu watu. Utatumia vile unavyotaka na matokeo yake cheo kinakupa kiburi utajiona wewe ndiyo wewe hakuna mwingine.
Tukianzia hata uongozi ndani ya familia zetu, kama baba akiwa ni mtu wa kutumia madaraka yake vibaya lazima ataharibu familia yake. Kama umepewa madaraka basi yatumie vizuri hayo madaraka kuleta matokeo mazuri. Watu wakufurahie uwepo wako kwa kufanya makubwa ambayo yanakuwa ni msaada kwa wote.
Mfano baba anaweza kuwa ni kiongozi wa familia lakini huwa anatoa adhabu kwa watoto kupita kiasi au kwa upendeleo sasa hii inaleta mpasuko kwa watoto, inaleta vinyongo na kuwagawa watoto katika familia.

Kama kiongozi unatakiwa kuwa na nguzo muhimu katika uongozi wako ambayo nguzo yenyewe ni msamaha. Msamaha ni nguzo muhimu sana kwa kiongozi yoyote yule. Siyo kila kosa linahitaji adhabu, kama kiongozi unatakiwa uwe na msamaha katika uongozi wako.

Ukiwa ni mtu wa kufuata sheria katika uongozi wako, yaani kila kosa wewe ni adhabu tu basi utawapoteza watu wengi. Kwa sababu watu wengi wana udhaibu wa kibinadamu na huwezi ukakosa kosa kwa mtu kama ni mtu unayesimamia sheria.
Hapa ndiyo inakuja nguzo muhimu sana ya uongozi ambayo ni msamaha. Msamaha unaleta amani kwenye eneo lolote la uongozi. Msamaha unaleta utulivu,kama kuna mahali watu walikuwa hawana utulivu basi baada ya kiongozi wa sehemu husika wanafurahia msamaha huo na kuwaletea utulivu wa wa akili.
Msamaha unafanya eneo kuwa tulivu,mtaa, nchi, mkoa, kijiji, familia na hata dunia kiujumla. Kwa kupitia msamaha unawaleta watu na kusahau hata tofauti walizonazo.


Kama kiongozi unatakiwa uwe unavaa sifa ya uungu ndani yako, kama ingekuwa Mungu anatoa adhabu kama binadamu basi leo hii hakuna ambaye angeweza kusimama lakini kwa kuwa kuna msamaha, tunaweza kujirudi na kuwa watu wapya tena.
Hatua ya kuchukua leo; kama wewe ni kiongozi siyo kila kosa unapaswa kutoa adhabu muda mwingine unasamehe. Na kumbuka kuwa siyo kila kosa ni la kusamehewa ukiwa unatoa msamaha kwenye kila kosa watu wataacha kufuata tena sheria.
Kwahiyo, kumbuka kuwa kila nafasi ya uongozi uliyonayo ni kama vile unamsaidia Mungu, hivyo angalia sifa za Mungu je unavyoongoza watu wako una nguzo za huruma, msamaha na siyo mwepesi wa hasira? Kuwa mtu wa msamaha na usiwe mwepesi wa hasira maana utawapoteza wengi kama siyo kuwamaliza.

BOBEA KATIKA " KUANDIKA , KUONGEA NA KUANDIKA ILI KUWEZA KUWA NA USHAWISHI NA WATU WANUNUE UNACHOUZA---------------" Fursa Afrika Mshariki Blog "

JINSI YA KUWA KIONGOZI BORA

Mpendwa rafiki yangu, Mdau  wangu Jamii yoyote ile iliyostarabika lazima iwe  na kiongozi anayewaongoza. Uongozi ni kitu muhimu sana, kuanzia katika familia zetu mpaka ngazi ya taifa. Eneo ambalo hakuna kiongozi huwa linajulikana kwa sababu wanakuwa hawana mwelekeo.

Kumbe basi, kiongozi ni muhimu kwa sababu anaonesha mwanga au uelekeo wa kule jamii inapotaka kufika. Jamii au watu ambao hawana uelekeo huwa uelekeo wowote unawachukua hii ina maana kwamba hakuna tofauti na bendera fuata upepo.
Ni muhimu sana kila mmoja wetu kujifunza mambo ya uongozi, hata kama huna unaowaongoza basi unajiongoza mwenyewe. Jichukulie wewe ni kiongozi mkubwa na anza kufanya mambo ambayo viongozi wakubwa wanafanya.


JE , NI  NAMNA   GANI   UNAWEZA   KUWA  KIONGOZI  BORA ? 
(1).  Onesha mfano; kiongozi bora ni yule ambaye anakuwa anaongoza kwa mfano.  Kama wewe ni kiongozi eneo lako la kazi unatakiwa kuwa mfano. Kama unasisitiza kuwahi, basi mtu wa kwanza kuwahi atakuwa uwe wewe. Na ukifanya hivyo utashangaa wote wanakuwa wanawahi kazini. Hata siku moja usitegemee kupata kile ambacho hukitoi kwa wengine.
Unapohamasisha juu ya jambo fulani basi hakikisha uwe kinara wa kuwa kwanza katika utekelezaji wa jambo hilo. Usiwe tu mtu wa kuongea bali kuwa mtu wa kuonesha njia, ili na watu wengine wapiti. Utakapoweza kuonesha njia hata wengine nao watakuwa rahisi kupita. Kama kiongozi ukiwa mwoga usitegemee unaowaongoza watakuwa tofauti na wewe.

( 2 ). Uwe mtu makini. Kadiri unavyoonesha umakini katika mambo yako ndivyo watu nao wanakuwa kama wewe. Binadamu wanatabia ya kumsoma mtu ni mtu wa namna gani, wakishajua wewe ni mtu wa namna gani, wala hawawezi kujisumbua tofauti na wewe unavyotaka. Kiongozi unatakiwa kuonesha umakini juu ya yale unayosema.
Kama wewe hujali yale yale unayosema unafikiri naye atajali? Anza kujali kwanza wewe kuonesha kuwa jambo hilo ni muhimu na akiona kiongozi wake yuko makini anajali lazima na yeye atajali. Akili ya binadamu inasetiwa ukishawaseti watu utawaongoza vile unavyotaka wewe na siyo vile wanavyotaka wao.

( 3 ). Uwe mfuatiliaji kweli; kuna viongozi wengine huwa wanaishia kusema tu. Ni bora usiseme kuliko unasema halafu unashindwa kuchukua hatua. Kusema halafu hapana utekelezaji ni sawa na kujidharau. Unamaliza nguvu zako bure tu.
Uwe unafuatilia mambo yako yote jua kile kinachoingia na kinachotoka. Jua kila kitu kuhusu kazi au biashara yako na wale ambao wako chini yako hakikisha wanafuata mwongozo wa kazi. Usitegemee kupata watu makini kama wewe siyo mtu makini. Watu wanakuwa makini kama wewe ukiwa makini.
Hakuna mtu ambaye atakuchezea kama wewe hutaki kuchezewa. Jinsi utakavyojichukulia ndivyo na watu watakavyokuchukulia.
Hatua ya kuchukua leo; kuwa kiongozi wa mfano, kuwa makini, kuwa mfuatiliaji na jali yale unayosema. Ukiishia kusema na watu unaowaongoza wataishia kusikia na kutokufanya.
Hivyo basi, kama unataka mambo yako yaende kama unavyotaka wewe, anza kuwa mtekelezaji wa kwanza wa jinsi vile unavyotaka mambo yako yaende. Utakuwa kiongozi bora kama utakuwa mwaminifu, mwadilifu, mwajibikaji kwenye yale unayosema.

FURSA 14 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA UAGIZAJI NA USAFIRISHAJI WA BIDHAA-----------------" Fursa Afrika Mashariki Blofg "

Katika   zama  hizi  za   SAYANSI, TEKNOLOJIA  na  MAWASILIANO  kuna   matarajio makubwa  sana kukuwa kwa  biashara kati  ya  taifa na  taifa , kanda  na  kanda , bara  na  bara  katika  maswala  mazima  ya  uchumi. Ukuaji  huu  wa  biashara unafungua  milango  mipana   ya  FURSA  zisizoisha ( UNLIMITED  OPPORTUNITIES )  kwa   WAJASIRIAMALI. Watu  hapa  duniani wametengeneza  mabilioni  ya  PESA  kwenye  sekta  hii.Ajabu  ni  kwamba, kwenye  nchi zinazoendelea  FURSA  hii  haijaeleweka  sana. Watu  wengi  wanahangaika  kila  kukicha  kutangaza  bidhaa  na  wengine  wanaishia  kutapeliwa  na  mwishowe  kuachana  na  biashara  hii. Je , umewahi  kuwaza  kufanya  hii   biashara ?? Je , unahitaji  elimu  juu  ya FURSA  hii  ya  kuagiza   bidhaa  au  kusafirisha  bidhaa  kwenye  nchi  mbalimbali  huku  ukitalii  na  kula   maisha ? Kama  jibu  ni  NDIO , basi  ongozana  mimi tupitie  baadhi  ya  FURSA nyeti  zilizopo  kwenye  uwanja   huu   wa  NOTI. Ili  kufahamu   baadhi  ya   FURSA  zilizopo   kwenye  sekta  hii   unazoweza  kuwekeza , tafadhali ,  endelea  kusoma na kufuatana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.
( DARASA   LA  GOOGLE )


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  SEKTA  YA  UAGIZAJI  NA  USAFIRISHAJI  WA  BIDHAA"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

FURSA 13 ZA BIASHARA KATIKA USINDIKAJI WA VYAKULA------" Fursa Afrika Mshariki Blog "

Biashara  ya   Vyakula  ni  biashara  isiyoishiwa  soko   na  ina  uwanja  mpana  sana. Uzalishaji  na  Usindikaji  wa   Vyakula  ni  FURSA  inayolipa  sana.Kuna  wakulima  wengi  sana  asilimia  75%  ya   watanzania  ni  wakulima.Sio  TANZANIA  tu , lakini  hata   nchi  nyingine  zinazoendelea  hutegemea  KILIMO  kama  uti  wa  mgongo  wa  uchumi  wao. Wakulima  wengi  wanazalisha  mazao  na  kuyauza  kwa  kiwango  kikubwa  kipindi  cha  mavuno. Wanafanya  hivyo  kwa  kukosa  mbinu  ya  kuweza  kusindika  mazao  hayo  ili  yaje  yatumike   kipindi  cha  kiangazi. Ukiwa  MJASIRIAMALI  mjanja   kipindi hiki   ndicho cha  kuanza  kusindika  mazao  mengi  uwezavyo , ili  kipindi  cha  kiangazi  kikifika  uweze  kuishi  kama mfalme.  .Kuna   fursa   nyingi  sana  kwenye   "SEKTA  YA  USINDIKAJI  WA   VYAKULA" . Ili  kufahamu   baadhi  ya   FURSA  zilizopo   kwenye  sekta  hii   unazoweza  kuwekeza , tafadhali ,  endelea  kusoma na kufutana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.
( DARASA   LA  GOOGLE )


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  SEKTA  YA  USINDIKAJI  WA   VYAKULA"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

Wednesday, August 7, 2019

FURSA 35 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA --------------------" Fursa Afrika Mashariki Blog "

Shughuli  nyingi  za  wanadamu  zimekuwa  sio  rafiki  kwa  mazingira. Ukiangalia  kuanzia  shughuli  za  kilimo, viwanda, michezo  na  ufugaji  utagundua  kuwa   wanadamu  wanahusika  sana  katika  kuharibu  mazingira.Serikali  na  mashirika  mbalimbali  yamekuwa   yakipiga  kelele  juu   ya   utunzaji  wa  mazingira. Ipo  misemo  mingi  ya  kuhamasisha  watu  kutunza  mazingira , Mfano ,  "  Kata  mti panda  mti "  ,  " tunza  mazingira  yakutunze "  na  mingine  mingi . Uharibifu  huu  kwetu  sisi  WAJISIRIAMALI   ni  fursa  nzuri  nzuri  ya  kutengeneza  PESA.Kuna   fursa   nyingi  sana  kwenye   "SEKTA  YA  UTUNZAJI  WA  MAZINGIRA" . Ili  kufahamu   "SEKTA  YA  UTUNZAJI  WA  MAZINGIRA"  ina   FURSA   zipi mbalimbali   unazoweza  kuwekeza , tafadhali ,  endelea  kusoma na kufutana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.
( DARASA   LA  GOOGLE )


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  SEKTA  YA   NISHATI    NA  MADINI"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

FURSA 40 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA VIWANDA NA UZALISHAJI ---------------" Fursa Afrika Mashariki Blog "

Je , unahitaji  kuwa  mwekezaji  kwenye  viwanda  na  unahitaji  ELIMU  YA  VIWANDANI. Fursa  ya viwanda ni  biashra  nyeti  sana   katika  maisha  ya  kila  siku kwa  sababu  mtu  anazalisha bidhaa  ambazo  zinatumika  kila  siku. Kuna   fursa   nyingi  sana  kwenye   "SEKTA  YA  VIWANDA  NA  UZALISHAJI" . Ili  kufahamu   "SEKTA  YA  VIWANDA   NA  UZALISHAJI "  ina   FURSA   zipi mbalimbali   unazoweza  kuwekeza , tafadhali ,  endelea  kusoma na kufutana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.
( DARASA   LA  GOOGLE )


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  SEKTA  YA   NISHATI    NA  MADINI"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

FURSA 20 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA VYAKULA----------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

Mahitaji   ya  Chakula ni  muhimu kuliko  chochote  kile   ambacho  mwanadamu  anahitaji  kuweza   kuishi  mara  baada  ya  hewa. Hali  hii  hufanya  SEKTA  YA CHAKULA  kuwa  muhimu sana. Ili  kufahamu   SEKTA  YA  CHAKULA "  ina   FURSA   zipi mbalimbali   unazoweza  kuwekeza , tafadhali ,  endelea  kusoma na kufutana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.
( DARASA   LA  GOOGLE )


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  SEKTA  YA   NISHATI    NA  MADINI"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

FURSA 21 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA WANYAMA------------------" Fursa Afrika Mashariki Blog "

Umewahi  kuwaza  kuwa  WANYAMA wanaofugwa  nyumbani  wanaweza  kumkwamua  mtu  kutoka  kwenye  dimbwi  la  umaskini Je ,  ungependa  kujua  FURSA  zinazopatikana  kutokana  na  wanyama  tunaowafuga  kama  vile  mbwa? Ili  kufahamu   SEKTA  YA   " WANYAMA"  ina   FURSA   zipi mbalimbali   unazoweza  kufanya , tafadhali ,  endelea  kusoma na kufutana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.
( DARASA   LA  GOOGLE )


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  SEKTA  YA   NISHATI    NA  MADINI"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

JINSI YA KUTENGENEZA KIPATO KUPITIA UANDISHI.

( 1 ). kuandika kuhusu kazi au biashara yako. Hapa unaandika nakala za mauzo, zinazowavutia watu kwenye kazi au biashara unayofanya na kuwashawishi kuja kununua kile unachotoa. Kadiri unavyoweza kandika vizuri, ndivyo unavyoweza kuwavutia wengi na kuuza zaidi.
( 2 ). kuwaandikia wengine. Popote pale ulipo, kuna watu wana bidhaa au huduma nzuri sana, zinazoweza kuwasaidia wengine kupiga hatua zaidi kwenye maisha yao, lakini hawajaweza kuwafikia watu wengi. Hapo kuna fursa ya wewe kuijua vizuri bidhaa au huduma hiyo, kisha kuandika nakala za mauzo na kila anayenunua bidhaa au huduma kupitia nakala zako, basi mtu huyo anakupa wewe kamisheni. Angalia ni bidhaa au huduma zipi unaweza kuzifanyia hivyo, ingia makubaliano na wahusika na anza kuandika nakala za mauzo.
( 3 ). kuwa mwandishi na kuuza kazi zako za uandishi. Unaweza kuwa mwandishi kwenye eneo lolote unalochagua, na kwa kujifunza njia bora za uandishi wenye ushawishi, ukaweza kuwavutia watu kusoma kazi zako na hata kuzinunua pia. Hapa unaweza kuwa na vitabu, kozi au huduma nyingine kama za ushauri ambapo utawavutia watu kuzipata kupitia uandishi wenye ushawishi.
Rafiki, hapo ulipo sasa, unaweza kutumia uandishi wa nakala za mauzo kama sehemu ya kuingiza kipato cha pembeni. Jifunze na kuwa mwandishi bora, andika sana na kuwa na mpango bora wa kutengeneza kipato kupitia uandishi wako.

UJUZI ULIOZALISHA MAMILIONEA WENGI DUNIANI.

“There is virtually no other skill that can make you as much money as copywriting. Nearly all internet millionaires know this secret: more than their product, more than their traffic generation techniques, more than their email campaigns, more than who their joint-venture partners might be, it’s their copywriting that has made them rich.” – Ray Edwards.

Upo ujuzi mmoja ambao umezalisha mamilionea wengi dunia kuliko ujuzi mwingine wowote ule. Ujuzi huo ni uandishi wa nakala za mauzo (copywriting). Kama umewahi kuona tangazo la bidhaa kwenye tv, redio au gazeti na likaingia kwenye fikra zako kiasi cha kuwa unafikiria tangazo hilo muda mwingi basi jua kuna watu walikaa chini na kuandika tangazo hilo, ili kukulenga wewe.

Kama umewahi kusoma maelezo ya kitu fulani na ukatoka ukiwa na hamasa na kuchukua hatua mara moja, basi jua hapo kuna watu wamekaa chini kaundika kitu kinachokulenga wewe, wakiwa wana hatua ambayo wanataka wewe uchukue.

Uandishi wa nakala za mauzo, ni moja ya ujuzi ambao unalipa zaidi duniani, hasa pale mtu anapoweza kufanya kwa ubora wa hali ya juu. Jifunze uandishi wenye ushawishi kama tulivyojifunza kwenye kitabu cha juma hili na utaweza kuongeza kipato chako maradufu.

Friday, August 2, 2019

TABIA 06 ZITAKAZOKUFIKISHA KWENYE MAFANIKIO MAKUBWA SANA------------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

FURSA 42 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA SANAA NA UFUNDI---------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

Watu  wengi   sana  katika  dunia  hii  wanaujuzi   mbalimbali  wa  kutengeneza   vitu  kwa  kutumia   mikono  yao.Lakini  ujuzi  huu  watu  wengi  bado   haujawapa  ahaueni  ya  maisha. MAISHA  yameendelea   kuwa  magumu  pamoja  na  ukweli   kuwa  FURSA  YA  SANAA , UBUNIFU   na   UFUNDI karibia  kila  mtu  anaayo. Kuna  watu  wamejaaliwa   VIPAJI   vizuri  sana, lakini   watu   hawa  hupoteza  ujuzi  wao   kwa  kutokujua  cha  kufanya.UTAFANYAJE  ili  kuwa  wa   watofauti  na  watu  wengine  ambao   bado  wanasubiri   MIUJIZA  YA   MAFANIKIO ? Ili  kufahamu   SEKTA  YA   "SANAA  NA  UFUNDI"  ina   FURSA   zipi mbalimbali   unazoweza  kufanya  kupitia  ufundi , sanaa  au  ujuzi  ulionao na   jinsi  ya  kutengeneza  PESA tafadhali ,  endelea  kusoma na kufutana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  SEKTA  YA   NISHATI    NA  MADINI"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com