Friday, August 9, 2019

FURSA 14 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA UAGIZAJI NA USAFIRISHAJI WA BIDHAA-----------------" Fursa Afrika Mashariki Blofg "

Katika   zama  hizi  za   SAYANSI, TEKNOLOJIA  na  MAWASILIANO  kuna   matarajio makubwa  sana kukuwa kwa  biashara kati  ya  taifa na  taifa , kanda  na  kanda , bara  na  bara  katika  maswala  mazima  ya  uchumi. Ukuaji  huu  wa  biashara unafungua  milango  mipana   ya  FURSA  zisizoisha ( UNLIMITED  OPPORTUNITIES )  kwa   WAJASIRIAMALI. Watu  hapa  duniani wametengeneza  mabilioni  ya  PESA  kwenye  sekta  hii.Ajabu  ni  kwamba, kwenye  nchi zinazoendelea  FURSA  hii  haijaeleweka  sana. Watu  wengi  wanahangaika  kila  kukicha  kutangaza  bidhaa  na  wengine  wanaishia  kutapeliwa  na  mwishowe  kuachana  na  biashara  hii. Je , umewahi  kuwaza  kufanya  hii   biashara ?? Je , unahitaji  elimu  juu  ya FURSA  hii  ya  kuagiza   bidhaa  au  kusafirisha  bidhaa  kwenye  nchi  mbalimbali  huku  ukitalii  na  kula   maisha ? Kama  jibu  ni  NDIO , basi  ongozana  mimi tupitie  baadhi  ya  FURSA nyeti  zilizopo  kwenye  uwanja   huu   wa  NOTI. Ili  kufahamu   baadhi  ya   FURSA  zilizopo   kwenye  sekta  hii   unazoweza  kuwekeza , tafadhali ,  endelea  kusoma na kufuatana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.
( DARASA   LA  GOOGLE )


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  SEKTA  YA  UAGIZAJI  NA  USAFIRISHAJI  WA  BIDHAA"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

No comments:

Post a Comment