Saturday, August 31, 2019

BECOMING ENTERPRENUER : KWA NINI KUJIFUNZA NI KITU MUHIMU KWA MJASIRIAMALI ??

Kujifunza zaidi au kila siku ni kitu muhimu kwa mjasiriamali, sababu ujasirimali ni TAALUMA.
Ujasirimali hauishii tu ktk;
---kuanzisha Biashara
----kujiajiri mwenyewe
-----kuwa na uthubutu
-----kuwa na malengo
-------kuwa na wazo zuri la Biashara nk

--------Unahitaji kujifunza na kuwa na ujuzi ili uweze kuendesha na kusimamia miradi au Biashara zako ili ufanikiwe. Pia kuwa na skills utakazo tumia kukabiliana na changamoto zozote zitakazo jitokeza, kutafuta masoko ya bidhaa zako, jinsi ya kuwekeza, kutengeneza mpango Biashara, kusimamia wafanyakazi wako nk.
.
Huwezi kuwa mjasiriamali kama huja jifunza ujasiriamali, Kama ilivyo taaluma nyingine huwezi kuwa mjasiriamli kama huja jifunza au kupata mafunzo ya ujasiriamali.

No comments:

Post a Comment