Wednesday, July 31, 2019

MAMBO 06 YA KUFANYA KILA ASABUHI ILI KUWA NA UMILIKI MKUBWA WA SIKU YAKO NA KUWEZA KUFANYA MAKUBWA------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

FURSA 12 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA MISITU -------------" Fursa Afrika Mashariki Blog "

Kwenye  SEKTA  YA  MISITU napo  kuna  fursa  nyingi  ambazo  MJASIRIAMALI  anaweza  kuwekeza  na  kupata  PESA  za  kuboresha  mahitaji  yake.. Ili  kujua  SEKTA  YA  MISITU   ina   FURSA   zipi  na   jinsi  ya  kutengeneza  PESA tafadhali ,  endelea  kusoma na kufutana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  SEKTA  YA  MISITU"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

STAND OUT : HOW TO FIND BREAKTHROUGH IDEA AND BUILD A FOLLOWING AROUND IT---BY DORIE CLARK.

stand out book cover


THE ART OF PUBLIC SPEAKING---BY DALE CARNEGIE & J. BERG ESENWEIN


GETTING EVERYTHING YOU CAN OUT OF ALL YOU"VE GOT---21 WAYS YOU CAN OUT-THINK , OUT--PERFORM , AND OUT--EARN THE COMPETITION---BY JAY ABARAHAM

jay abraham 1

NJIA 21 NA HATUA ZA KUCHUKUA ILI UWEZE KUPIGA HATUA NA KUFANIKIWA ZAIDI KUPITIA KILE UNACHOFANYA SASA -------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

Tuesday, July 30, 2019

FURSA 12 ZA BIASHARA KATIKA MISIMU ( VIPINDI ) MBALIMBALI ----------------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

Katika  Maisha  kuna   vitu  fulani  ambavyo  hufanyika  ndani  ya  kipindi  fulani  mara  moja  au  mara   mbili  kwa   mwaka, baada  ya  miaka   miwili , miaka minne , mitano  au  muongo  mmoja. Kwa  kuwa  vipindi  hivi  huwa  ni  vifupi sana , vinatupa  changamoto  sana   katika   maadalizi    na   huwa  ni  vya  kuhuzunisha  au  vya   kufurahisha  watu. Sisi  WAJASIRIAMALI  tunatumia  vipindi  hivi  KUTENGENEZA  PESA. Ili  kujua  MISIMU  ina   FURSA   zipi  na   jinsi  ya  kutengeneza  PESA tafadhali ,  endelea  kusoma na kufutana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  MISIMU ( VIPINDI )  MBALIMBALI"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

Monday, July 29, 2019

JINSI YA KUONGEA MBELE YA KUNDI KUBWA LA WATU

TENGENEZA KIPATO KUPITIA UNENAJI---------- " Elimu Ya Msingi Ya Fedha "

VITU VIWILI UNAVYOHITAJI ILI WATU WAKUSIKILIZE.

“There is only one excuse for a speaker's asking the attention of his audience: he must have either truth or entertainment for them.” ― Dale Carnegie
Kama unataka watu wakusikilize unapoongea, unapaswa kuwa na moja au vyote kati ya vitu hivi viwili; ukweli au burudani.
Watu wanapenda kusikiliza ukweli, ukweli ambao unawawezesha kufanya maamuzi sahihi na kupiga hatua kwenye maisha yao, ukweli unaowafanya waone wapi walikuwa wanakosea na hatua sahihi za kuchukua ni zipi. Unapokuwa na ukweli, watu wanakusikiliza, hasa pale unapokuwa na ushahidi wa ukweli huo. Japokuwa wakati mwingine ukweli huwa unaumiza na watu wengi kuukataa, lakini unapousimamia unapata watu wa kukusikiliza. Hii ndiyo inayosababisha tunawasikiliza waalimu, washauri, au viongozi mbalimbali, ambao tunajua wana ukweli ambao tunauhitaji.
Watu wanapenda burudani, watu wanapenda kusahau changamoto zao za maisha kwa muda na kucheka kidogo. Na hapa ndipo wasanii na wachekeshaji wanapopata nafasi ya kuwafikia wengine kupitia sanaa zao. Watu watamsikiliza mtu kama wanaburudika kwa kumsikiliza.
Hivyo rafiki, kama unataka kuwa mnenaji mzuri, kazana kuweka vitu hivi viwili kwenye unenaji wako, ukweli na burudani. Kila unapopata nafasi ya kuongea mbele ya wengine, jua ni ukweli gani ambao unataka watu hao wajue, labda kuhusu wewe, kuhusu mada unayozungumzia au kuhusu bidhaa au huduma unayotaka kuwauzia. Ukweli huu uwafanye waondoke na kitu ambacho hawakuwa wanakijua awali na wawe na hatua za kuchukua ambazo hawakuwa wanachukua awali. Pia waburudishe watu kupitia unenaji wako, kuwa na hadithi, mifano au visa ambavyo vinaufukisha ukweli huo kwa njia ambayo inawaburudisha watu. Unahitaji kuwa na maandalizi ya mifano au hadithi utakazotumia kwenye unenaji wako, ambavyo vitafikisha ukweli na kuwaburudisha watu pia.
Zingatia vitu hivyo viwili katika unenaji, ukweli na burudani na watu watapenda kukusikiliza kila wakati bila ya kuchoka.

Thursday, July 25, 2019

FURSA 12 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA MAUZO YA BIDHAA KWA REJAREJA---------------" Fursa Afrika Mashariki Blog "

FURSA ya kuuza na  kununua bidhaa  inahusisha hasa  UUZAJI  wa BIDHAA  kwa  njia  mbalimbali .Kujua FURSA unazoweza  kufanya  kwenye  sekta  hii, tafadhali ,  endelea  kusoma na kufutana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika   SEKTA  YA " MAUZO   YA  BIDHAA  KWA  REJAREJA"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

FURSA 11 ZA BIASHARA KATIKA MATANGAZO NA MASOKO ----------------- " Fursa Afrika Masahriki Blog "

Je, wewe  ni  mtu  wa  MASOKO na  MATANGAZO ? Unapenda   kufanya  kazi   kwenye  sekta  hii  hujui  fursa  sahihi   ya   KUWEKEZA ?   Kama   unayo  nia  ya  dhati  ya  kuwekeza   kwenye  sekta  hii , basi  endelea   kufutana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika   SEKTA  YA "MATANGAZO  NA MASOKO "

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

FURSA 22 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA MAGARI NA UFUNDI MAGARI ( AUTOMOTIVE )

Kwenye  SEKTA  YA   MAGARI  kuna  FURSA   nyingi   sana  ambazo  watu   wengi wanazifanya  lakini   bado  zinafungua  milango  kwa  WAJASIRIAMALI  kuwekeza. Kwenye   SEKTA  hii  tutaongelea  MAGARI ,PIKIPIKI ,BAJAJI , BOTI , MELI ,  na  vyombo  vingine  vya   moto.


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika   SEKTA  YA " MAGARI  NA  UFUNDI  MAGARI ( AUTOMATIVE ) "

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

Tuesday, July 23, 2019

TUMIA MTANDAO WA INTANETI VIZURI.

Mtandao wa intaneti una nguvu kubwa ya kuweza kuwafikia wateja wengi zaidi. Watu wengi wamekuwa wanachukulia mtandao wa intaneti kama sehemu ya kutoa maarifa na taarifa pekee, lakini pia unaweza kutumika kupata wateja zaidi wa biashara yako.
Katika kutumia mtandao wa intaneti kupata wateja zaidi unapaswa kuwa na vitu viwili;
Moja unapaswa kuwa na tovuti ya biashara yako, hii inaeleza kila kitu kuhusu biashara yako. Hapa ndipo nyumbani kwa biashara yako mtandaoni. Watu wanaweza kuingia na kupata taarifa muda wowote ule, masaa 24 kila siku. Unaweza pia kuuza bidhaa zako moja kwa moja kwenye tovuti ya biashara yako.
Mbili unapaswa kuwa na blogu ya biashara yako. Blogu hii unaitumia kutoa taarifa na maarifa yanayohusiana na biashara yako. Unaweza kuitumia blogu kutoa elimu kwa wateja wako kuhusu biashara yako, hivyo watu wanapokuwa na shida na kutafuta suluhisho, wanaletwa kwenye blogu ya biashara yako. Kwa kupata ushauri wako mzuri, wanakuamini na kuwa tayari kununua kile unachouza.
Tumia vitu hivyo viwili ili biashara yako iweze kunufaika na mtandao wa intaneti.

TUMIA SIMU KUUZA.

Simu yako ni nguvu kubwa sana ya kukuwezesha kuwafikia wateja wengi na kuwauzia pia. Itumie simu yako kama kifaa cha masoko na mauzo kwa kuwasiliana na wateja wako kabla na baada ya kununua.
Kila mteja anayefika kwenye biashara yako au anayejibu kutokana na matangazo yanayotolewa na biashara, taarifa zake zinapaswa kuhifadhiwa. Hifadhi namba zao za simu na tengeneza mpango wa kuwa unawapigia simu wateja wako.
Kwa wale ambao hawajanunua wapigie kuwaeleza manufaa ya kile unachouza na kuwashawishi kuja kununua. Kwa ambao wameshanunua wapigie kujua wanaendeleaje na kile walichonunua kimewafaaje.
Kwa kutumia simu yako vizuri utaweza kuwafikia wateja wengi na kuuza zaidi.
Njia bora ya kuandaa mpango huu wa simu ni kurusha matangazo ambayo yanawataka wateja wako kupiga simu, kutuma ujumbe au kuja kwenye biashara yako. Na mteja akishakutafuta, basi tunza mawasiliano yake, hasa simu na hapo utaendelea kuyatumia kwa masoko na mauzo zaidi.

PIMA KILA KITU.

Kila hatua unayochukua kwenye biashara yako, unapaswa kuipima, la sivyo hutaweza kujua kama inaleta matokeo sahihi au la. Usiendeshe biashara yako kwa kubahatisha, badala yake iendeshe kwa kupima kila unachofanya na kisha kufanya maamuzi sahihi kutokana na matokeo unayoyapata baada ya kupima.
Kwenye biashara, mara nyingi unachotaka wewe siyo ambacho soko linataka, unachopenda wewe siyo ambacho soko linapenda. Hivyo acha kujifikiria wewe na angalia soko linapenda nini kisha lipe.
Kama unaendesha matangazo, pima matangazo hayo kwa kutumia njia mbalimbali kama kutumia vichwa vya habari tofauti, kutumia vyombo vya habari tofauti, kutoa ofa tofauti, kutumia bei tofauti na hata kutoa ofa tofauti. Kisha pima matokeo unayopata kwa kila njia unayotumia na ile inayoleta matokeo mazuri ndiyo inakuwa njia kuu.
Kila unachofanya kwenye biashara yako, unapaswa kukipima na kujua matokeo yake. Na hata baada ya kupata matokeo bora kabisa na kuchagua njia kuu, bado unapaswa kuendelea kupima kadiri unavyokwenda ili uweze kujua matokeo unayopata na kama kuna njia bora zaidi basi itumike hiyo.
Unapokuwa unapima, unapaswa kuanza kwa hatua ndogo na ukishapata matokeo basi unakwenda kwenye hatua kubwa. Kwa mfano kama unajaribu tangazo, anza kwa kuwafikia watu wachache kisha ukishaona njia bora ndiyo unapeleka tangazo hilo kwa watu wengi zaidi.

HATUA MBILI ZA KUONGEZA KIPATO CHAKO -----------"Elimu Ya Msingi Ya Fedha "

Rafiki yangu mpendwa, moja ya vitu ambavyo nimekuwa nakusisitizia sana wewe rafiki yangu ni kuwa na vyanzo mbadala vya kukuingizia kipato. Hii ndiyo njia pekee kwako kuweza kupata uhuru kamili wa maisha yako.
Kama kipato chako kinategemea mtu mmoja au wachache basi haupo huru, utalazimika kufanya kile ambacho anayedhibiti kipato chako anakutaka ufanye, hata kama hutaki kukifanya au unaona siyo sahihi kufanya.
Mfano unapokuwa umeajiriwa na chanzo pekee cha kipato chako ni mshahara unaopata kwenye ajira hiyo, unajikuta unakuwa chini ya mwajiri wako, kufanya chochote anachotaka hata kama kwa upande wako siyo kitu sahihi au muhimu kufanya.
Hivyo ili kupata uhuru kamili, ili kupata mafanikio makubwa kwenye maisha yako, unapaswa kuwa na vyanzo tofauti, kipato chako kusitegemee mtu mmoja au watu wachache.
Zipo njia nyingi sana za kuongeza njia za kuingiza kipato na hatimaye kuongeza kipato chako. Lakini njia zote hizi tunaweza kuzigawa kwenye hatua mbili, ambayo inarahisisha sana uchukuaji hatua wa mtu katika kuongeza kipato.
Hatua ya kwanza; ongeza thamani zaidi pale ulipo sasa.
Hatua ya kwanza ya kuongeza kipato chako ni kuongeza thamani zaidi pale ulipo sasa. Hapa huhitaji kuanza kufanya kitu kipya, bali unaendelea kufanya kile unachofanya sasa, lakini kwa viwango vya juu zaidi ambavyo vinakuwezesha kutengeneza kipato zaidi.
Kama una biashara hapa unakazana kuwahudumia vizuri zaidi wateja ambao tayari unao, kuongeza wateja wapya na kuwapa vitu vipya ambavyo wateja wanahitaji lakini kwako havipatikani.
Kama upo kwenye ajira ni kuongeza thamani unayotoa kwenye ajira hiyo, kwa kuchukua majukumu mengi na makubwa, kufanya kazi kwa muda mrefu zaidi na kufanya kazi yako kwa viwango vya juu zaidi. Japokuwa kwenye ajira kuna ukomo, bado ni sehemu ya kuanzia ili kuondoka kwenye utumwa huo.
Hatua hii ni muhimu sana kwa kila mtu kuitumia kwa sababu haihitaji uwe na rasilimali za ziada. Mfano watu wengi wamekuwa wanasema wangekuwa na fedha wangeanzisha au kukuza zaidi biashara walizonazo. Kwa kuwa hawapati fedha wanazotaka, basi wanabaki vile walivyo. Kama kila mtu angefanyia kazi hatua hii ya kwanza na kufanya zaidi pale alipo sasa, wangeweza kutengeneza kipato zaidi na kwenda kufanya kile hasa wanachotaka kufanya.
Hatua ya pili; fanya kitu cha tofauti.
Hatua ya pili kwenye kuongeza kipato chako ni kufanya kitu cha tofauti na unachofanya sasa. Hapa ndipo unakwenda kuanza biashara mpya kama huna biashara au kuanza biashara ya tofauti na ile unayofanya sasa au kwenye eneo tofauti na unalofanyia biashara sasa.
Hii ni hatua muhimu na unayopaswa kuichukua kwa umakini, kwa sababu inahitaji maamuzi unayokwenda kuyasimamia kwa muda mrefu. Wengi wamekuwa wanachukua hatua hii bila ya kujitathmini vizuri na kujikuta wametengeneza gereza zaidi kwa kile kipya wanachokwenda kufanya.
Mfano mtu anakwenda kuanzisha biashara mpya wakati biashara anayofanya sasa bado hajaweza kuiendesha vizuri, kinachotokea ni biashara zote mbili kufa. Au mtu anatoka kwenye ajira moja na kwenda kwenye ajira nyingine, kitu ambacho hakibadilishi sana hali yake ya maisha.
Kama unataka kuongeza kipato chako, anzia hapo ulipo sasa na chagua kitu cha kufanya zaidi. Kama ni biashara fikiria wateja wapya unaoweza kuafikia, huduma na bidhaa mpya unazoweza kuwapatia na ubora wa huduma unazotoa. Kama ni kwenye ajira angalia majukumu makubwa zaidi unayoweza kufanyia kazi, muda zaidi unaoweza kuweka kwenye kazi zako na thamani kubwa zaidi unayoweza kuzalisha. Ukishaweka juhudi kubwa kwenye kile unachofanya sasa, ndipo sasa unaweza kufanya kitu cha tofauti.
Kila mtu ana fursa nyingi za kufanya zaidi kwenye kile anachofanya sasa, hebu anza kutumia fursa hizi ili kuongeza kipato chako zaidi.

PATA HASARA MWANZONI KUPATA FAIDA MBELENI.

Kikwazo kikubwa cha ukuaji wa biashara imekuwa kushindwa kumshawishi mteja kununua kwa mara ya kwanza. Hivyo hapa ndipo unapaswa kuweka nguvu zako kubwa.
Kwa sababu tayari una mkakati bora wa kutoa thamani kubwa kwa wateja wako, hawataweza kuona hilo mpaka pale watakaponunua kwako kwa mara ya kwanza.
Swali ni je utawezaje kumshawishi mteja kununua kwako kwa mara ya kwanza, mteja ambaye hajawahi kununua kabisa kwako?
Jibu ni kwa kuondoa vizingiti au vikwazo vyote ambavyo vinamzuia mteja kwa sasa. Kikwazo kikubwa kabisa kimekuwa ni hatari ambayo mteja anaona iko mbele yake, ya kupoteza fedha zake iwapo anachonunua hakitamfaa.
Hatua za kuchukua ni kuwa na mkakati wa kupata hasara mara ya kwanza mteja anaponunua kwako, lakini kwa kuwa utamhudumia vizuri na atarudi tena na tena, basi utaweza kutengeneza faida siku za mbeleni.
Hapa unaweza kutoa zawadi kwa mteja anaponunua kwa mara ya kwanza au kuwa na punguzo fulani. Vyote ni kumfanya achukue hatua ya kununua kwako kama kukujaribu, na akishanunua kwako mara moja, ataendelea kununua.
Zawadi au punguzo unalompa mwanzo linaondoa kabisa ile faida ambayo ungeweza kuipata, lakini anapokuja kununua tena, unatengeneza faida.
Chukua mfano unauza kitu ambacho bei yake ni elfu 10 na faida unayopata ni elfu 3. Mteja ananunua kitu hicho kila mwezi mara moja na unaweza kwenda naye kwa angalau miaka mitatu. Sasa unaweza kumpa mteja wako zawadi au punguzo la hiyo elfu tatu na hata zaidi anaponunua kwa mara ya kwanza. Lakini atakapoendelea kununua, utarudisha faida hiyo na zaidi.
Kabla ya kuchukua hatua hii unapaswa kukokotoa kiasi cha faida unachopata na muda ambao mteja atanunua ili uweze kupata matokeo mazuri.

ONDOA KABISA HATARI KWA MTEJA.

Tumeona kikwazo cha wateja kununua kwa mara ya kwanza kwako ni hatari ya kupoteza fedha zao iwapo kitu walichonunua hakitawafaa kama walivyotaka. Tumejifunza njia moja ya kuwapa ofa au zawadi ambayo itawasukuma kununua.

Ipo njia nyingine yenye nguvu zaidi, ambayo ukiitumia lazima mteja anunue. Njia hiyo ni kuondoa kabisa hatari kwa mteja. Yaani hapa unaondoa nafasi yoyote ile ya mteja kupoteza fedha zake, na unakwenda mbele zaidi kwa kumlipa kwa muda au chochote alichopoteza.

Jay anaiita mbinu hii BETTER-THAN-RISK-FREE GUARANTEE (BTRF). Biashara nyingi huwa zinamrudishia mtu fedha aliyonunulia kitu kama hakijamfaa, au kumpa kitu kingine. Sasa wewe unahitaji kwenda zaidi ya hapo, unahitaji kumrejeshea mteja kile alicholipa, lakini pia kumlipa fidia kwa muda aliopoteza au usumbufu uliomsababishia.

Kwa kuwa tayari kumlipa fidia mteja wako pale ambapo hajaridhishwa na ulichomuuzia inaonesha unamjali sana na pia una uhakika sana na kile unachouza. Kadiri mteja anavyopata uhakika wa aina hii, ndivyo anavyokuwa tayari zaidi kununua kile unachouza.

Kama kweli unajali kuhusu wateja wako na kama kweli unaamini kwenye kile unachouza na umechagua kuwazia wateja sahihi, unaweza kutumia mbinu hii na hutapata hasara yoyote. Kwa sababu kwanza utawahudumia wateja sahihi na watakuwa tayari kwenda na wewe kwa muda mrefu.

KUWA NA KITU CHA KUKUTOFAUTISHA NA WENGINE.

Ili kufanikiwa kwenye biashara au chochote unachofanya, unapaswa kujitofautisha na wale wanaofanya kile unachofanya. Hivyo hapa unahitaji kutengeneza utofauti wako na kuwaeleza wateja nini wakija kwako wanapata ambacho hawawezi kupata sehemu nyingine yoyote ile.
Angalia jinsi washindani wako wanafanya mambo yao, kisha wewe kuwa na njia bora zaidi ya kufanya ambayo inawapa wateja thamani kubwa, kisha hakikisha wateja wanajua kuhusu utofauti wako. Njia zote za masoko unazotumia zinapaswa kueleza utofauti wako na wengine, ili wateja washawishike kuja kwako na siyo kwenda kwa wengine.
Baadhi ya maeneo ambayo unaweza kujitofautisha kwenye biashara ni bei, huduma, ubora, upekee, uharaka, uhakika na mengine.
Njia bora ya kujitofautisha ni kuchagua eneo dogo (niche) ambalo utalihudumia vizuri zaidi kuliko kuhangaika na eneo kubwa. Hapa unachagua aina fulani ya wateja, wenye sifa za kipekee ambao utaweza kuwahudumia vizuri na kuachana na wateja wengine wote. Kuachana na wateja wengine huwa ni kitu kigumu kwa wafanyabiashara wengi, lakini unapaswa kukumbuka kwamba huwezi kuwaridhisha watu wote.
Tengeneza ujumbe unaobeba utofauti wako kibiashara na kila unapokutana au kuwasiliana na wateja hakikisha unawapa ujumbe huo. Ujumbe huu unapaswa kurudiwa rudiwa mara nyingi mpaka watu wauelewe na kuihusisha biashara yako na ule utofauti unaotengeneza. Yaani pale mteja anapotaka kitu cha tofauti na kinachomfaa yeye, basi anajua atakipata kwako

JUA UNAKOKWENDA.

Kama hujui unakokwenda, huwezi kufika na hata ukifika hutajua kama umefika. Hatua ya kwanza kuchukua ili kupata unachotaka ni kujua wapi unapokwenda.
Unapaswa kujua kwamba kila mtu kwenye maisha kuna kitu anauza, iwe upo kwenye biashara au ajira, hivyo jua ni nini unachouza na uweze kukiuza vizuri zaidi.
Zipo njia tatu za kukuwezesha kuuza zaidi, kupata wateja wapya, kuuza zaidi kwa wateja ulionao na kuwafanya wateja ulionao waje kununua mara nyingi zaidi.
Kama umeajiriwa, unauza muda wako, utaalamu wako na uzoefu wako kwa mwajiri wako. Na kitu kimoja ambacho kila mwajiri anapenda sana ni mtu ambaye anaweza kutatua matatizo na siyo anayesababisha matatizo.
Chochote unachochagua kufanya, hakikisha unakifanya kwa utofauti mkubwa na wengine wanavyokifanya. Usikubali kufanya kwa mazoea au kuiga kile ambacho wengine wanafanya.
Wape wateja wako urahisi wa kusema ndiyo kwa kile unachouza, kwa kutoa thamani kubwa sana ambayo hawawezi kuipata sehemu nyingine yoyote ile. Yaani unapaswa kutoa thamani kubwa kiasi kwamba mteja atajiona ni mjinga kujaribu kutafuta sehemu nyingine ya kununua.

TATIZO HUJUI UNACHOTAKA.

Pata picha, unataka kuwa na safari, unaondoka nyumbani umebeba mizigo yako na kuelekea kituo cha mabasi. Unakaribishwa na kuulizwa unaenda wapi, unasema popote basi linapokwenda. Je unafikiri basi hilo litakupeleka wapi?
Unaweza kushangaa na kujiuliza inawezekanaje mtu mwenye akili timamu aende kituo cha basi kwa ajili ya safari halafu hajui anakokwenda!
Kabla hujaendelea kushangaa, hebu jiulize kwanza maswali haya muhimu; unakwenda wapi na maisha yako? unakwenda wapi na biashara unayofanya? Unakwenda wapi na kazi uliyonayo? Unakwenda wapi na mahusiano uliyonayo?
Kwa maneno mengine, miaka 5, 10, 20 na zaidi ijayo unajiona wapi? Kama huwezi kutoa jibu moja kwamba unajiona wapi katika vipindi hivyo, kwa hakika huna tofauti na anayeenda kwenye kituo cha mabasi huku akiwa hajui anakwenda wapi.
Na hivi ndivyo watu wengi wanavyoendesha maisha yao, wanakazana sana kufanya chochote wanachofanya, lakini hawajui wanakwenda wapi, hivyo wanafanya leo kama walivyofanya jana, huku kesho ikiwa haipo kwenye mawazo yao kabisa.
Kama mpaka sasa maisha yako huyaelewi, kama umeshajaribu kazi na biashara nyingi lakini bado huoni matokeo mazuri, tatizo lako ni moja, hujui nini hasa unachotaka, hujui wapi hata unakotaka kufika.
Na kama hutachukua hatua ya kwanza muhimu ya kujua kwanza nini unachotaka na wapi unapotaka kufika, hutaweza kuwa na maisha bora. Kila siku utaishia kuyumbishwa kama bendera inayopeperushwa na upepo. Watu watakuja kwako na kila aina ya fursa mpya na utahangaika nazo, na hakuna hata moja itakayokusaidia kufanikiwa.
Jua kwanza ni nini hasa unachotaka, jua ni wapi unakotaka kufika, kisha weka juhudi zako zote katika kufika kule unakotaka kufika. Kuwa kiziwi na kipofu kwa vitu vingine vyote visivyohusiana na kile unachotaka. Usiwe mtu wa kukimbizana na kila aina ya fursa mpya, badala yake weka nguvu kubwa kufika kule unakotaka kufika.
Kujua unachotaka na kuweza kukipata, anza kwa kujiuliza maswali haya muhimu sana;
  1. Mimi ni nani?
  2. Ni nini ninachotaka?
  3. Ni nini kinanipa furaha?
  4. Nini hakinipi furaha?
  5. Uimara wangu uko wapi?
  6. Udhaifu wangu uko wapi?
  7. Ni mchango gani mkubwa naweza kutoa kwa wengine kupitia maisha yangu, kazi yangu, biashara yangu na mahusiano yangu?
Ukijiuliza na kujipa majibu sahihi kwenye maswali hayo saba, na kufanyia kazi majibu hayo, utaweza kupata chochote unachotaka kwenye maisha yako.

Sunday, July 21, 2019

FURSA 31 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA UJENZI NA MAJUMBA----------------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

 FURSA   katika  SEKTA  YA  UJENZI imenufaisha  wafanyabiashara  wakubwa  duniani. Mfano  mzuri  ni  Rais  wa  Marekani ,  DONALD  TRUMP  ambaye  amepata   UTAJIRI  wake  kwenye  kuwekeza  kwenye  SEKTA  YA  UJENZI  NA  MAJUMBA.Bila  shaka  kutokana  na  tambo  za  bilionea   huyu , Rafiki  yangu , mdau  wangu  utakuwa  umekwisha  sikia  jengo   lenye  jina   la  huyu  mtu  maarufu   la  "  TRUMP  TOWER "  yaani  " MNARA  WA  TRUMP ". Sio  lazima  uwe  na  MTAJI  WA  MAMILIONI  YA  PESA ndio  uwekeze  kwenye  MAJENGO. Unaweza  kuanza  kidogo  na  ukaendelea  kupanua  biashara  yako  kadri  siku  zinavyozidi  kusonga  mbele. Kama  una  LENGO   au   ungetamanai  kuwekeza  kwenye   MAJENGO  endelea  kusoma  na  kujifunza  fursa  zilizopo  kwenye  jukwaa  hili.



MUHIMU : Ili   kuendelea Kusoma na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  
'SEKTA  YA UJENZI   NA  MAJUMBA "jiunge   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " ili  usome  MAKALA  mbalimbali   kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )---ONLINE   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

Ukishatuma  ADA  tuma  pia  EMAIL  yako  kwa  njia  ya  Meseji kuhusu  malipo tayari  kwa   kuunganishwa.


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

FURSA 33 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA KILIMO NA UFUGAJI --------------------" Fursa Afrika Mashariki Blog "

 Je, una   Malengo  ya Kufanya  biashara  kwenye   SEKTA  YA  KILIMO ? Tazama  FURSA  zilizopo  kwenye   Sekta  hii  unazoweza  kufanya   bila   MTAJI  mkubwa. SEKTA YA  KILIMO  na  Chakula , ni  moja  ya  biashara  muhimu  sana  kwa  wanadamu  kote  duniani   na  mahitaji  yake   yanaongezeka  kila  kukicha.Hakuna  siku  biashara  hii  itakuja  dorora  na  kuishiwa  FURSA , hii  ni  kwa  sababu  ya  ongezeko  kubwa   la  watu  duniani  hali  inayopelekea  mahitaji  ya  chakula  kuwa  makubwa  kuliko  jana  na  juzi.Hii  ni  sehemu   bora  ya  kutengeneza   mtonyo   mnene. UWEKEZAJI  kwenye  SEKTA  YA  KILIMO  hujumuisha  Kilimo  cha  Mazao  mbalimbali , uzalishaji  na  uuzaji  wa   mazao  mbalimbali  na  KILIMO.



MUHIMU : Ili   kuendelea  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  
'SEKTA  YA  KILIMO"jiunge   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

Ukishatuma  ADA  tuma  pia  EMAIL  yako  kwa  njia  ya  Meseji kuhusu  malipo tayari  kwa   kuunganishwa.


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

Saturday, July 20, 2019

JIFUNZE MBINU ZA KUFANYA BIASHARA KWA UFANISI

FURSA TISA ( 09 ) ZA BIASHARA KATIKA HUDUMA ZA KIFEDHA ------------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

Kuna  msururu  wa   FURSA  katika  Sekta  ya   Fedha   na  Uchumi  ambazo   MJASIRIAMALI  unaweza   kuwekeza. Kama  umesomea   Uchumi  au  Elimu  yeyote  inayohusiana  na  FEDHA basi   unabahati  kwa   kuwa  mambo  mengi  nitakayokelezea  utanielewa  kwa  haraka.Kumbuka  sio   lazima  Usome  Uchumi  ndio  uwekeze  kwenye   sekta   hii ,  HAPANA ! Hiyo  ni  sehemu  ndogo  tu  kwenye   picha   kubwa. Unaweza   kuwekeza  Fursa  zote  za  Kifedha  endapo  utakuwa   na   nia  na  kugundua  FURSA  sahihi  inayokufaa.

MUHIMU : Ili   kuendelea  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha    katika  
'HUDUMA  ZA  KIFEDHA"jiunge   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

Ukishatuma  ADA  tuma  pia  EMAIL  yako  kwa  njia  ya  Meseji kuhusu  malipo tayari  kwa   kuunganishwa.


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539

Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "


ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

Thursday, July 18, 2019

FURSA 16 ZA BIASHARA KATIKA HUDUMA MBALIMBALI ZA KIJAMII -----------------------" Fursa Afrika Mashariki Blog "

Zipo huduma   yingi sana  katika  jamii  ambazo  mtu  anaweza  kutoa  kulingana   na  taaluma  aliyonayo au  uelewa  wake .Baadhi  ya  huduma unazoweza  kutoa katika  jamii  yako na  ukapata  pesa  nzuri  ya  kujikimu  kimaisha.

MUHIMU : Ili   kuendelea  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha    katika  
'HUDUMA  MBALIMBALI  ZA  KIJAMII "jiunge   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama .

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

Ukishatuma  ADA  tuma  pia  EMAIL  yako  kwa  njia  ya  Meseji kuhusu  malipo tayari  kwa   kuunganishwa.


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama   hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

FURSA SITA ( 06 ) ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA HABARI NA UCHAPISHAJI----------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

Kuna  FURSA  nyingi  sana   kwenye  SEKTA YA HABARI  NA  UCHAPISHAJI . Kwenye  habari  unaweza  Kujiajiri  mwenyewe  kwa  kutoa  habari na  kuchapisha habari  moto  moto  kwenye  mitandao   au  kwenye  makala  mbalimbali.

MUHIMU : Ili   kuendelea  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zinazopatikana    katika  
'SEKTA   YA HABARI  NA  UCHAPISHAJI "jiunge   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze  Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama .

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

Ukishatuma  ADA  tuma  ujumbe  kwa  njia  ya  Meseji kuhusu  malipo pamoja  na  EMAIL  yako tayari  kwa  kuunganishwa


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama   hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

FURSA 13 KATIKA SEKTA YA FASHENI NA MITINDO--------------" Fursa Afrika Mashariki Blog "

Je , wewe  ni  mpenzi  wa   MITINDO ?   MITINDO  ni   sehemu  sahihi  kwa  MJASIRIAMALI  yeyote   kwa   UWEKEZAJI. Hii  ni  kutokana   na  kubadilika kwake  na  kuletwa  kwa  bidhaa  mpya ambazo huifanya  kutokupitwa  na  wakati.Kama  unapenda KUTAJIRIKA   kwenye   SEKTA  YA  FASHENI  NA  MITINDO , basi  baki  na  mimi  Kwa   Kujiunga  na "  DARASA   LA  SEMINA " (  Google  Classroom ).

MUHIMU : Ili   kuendelea  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali zilizojificha katika  
'SEKTA   YA FASHENI  NA  MITINDO "jiunge   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  na    " DARASA  LA  SEMINA " ( Google  Classrom )  kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze  Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UYAJIRI.

Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama   hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

Wednesday, July 17, 2019

UKOSEFU WA ELIMU YA MSINGI YA FEDHA HUTUPELEKEA KUWA MASKINI . JIFUNZE HAYA USIYOYAJUA KUHUSU ELIMU YA MSINGI YA FEDHA.

( 1 ).FEDHA SIYO MAKARATASI.
Watu wengi wamekuwa wanafikiria fedha ni yale makaratasi au sarafu ambazo tunazishika. Na hapa ndipo wengi wanapokwama, kwa sababu wanakosa ule msingi muhimu kuhusu fedha. Kwa kukosa msingi muhimu kuhusu fedha, watu wanashindwa kuzipata kwa wingi na hata kuzitumia vizuri.
Fedha ni wazo ambalo lina thamani. Fedha ni matokeo ya mtu kuwa na wazo ambalo linaongeza thamani kwa wengine. Bila ya thamani hakuna fedha. Hivyo kama unataka fedha zaidi, lazima ujue thamani gani unatoa kwa wengine.

( 2 ).KIPATO KIMOJA NI UTUMWA.
Kuwa na chanzo kimoja cha kipato pekee ni utumwa. Huwezi kuondoka kwenye umasikini kama unategemea kipato chako kitoke sehemu moja pekee. Kama umeajiriwa pekee, hata kama unalipwa kiasi kikubwa cha fedha, bado unabaki kwenye umasikini. Kama unafanya biashara na unategemea wateja wachache nayo pia inakuweka kwenye umasikini.
Utaondoka kwenye umasikini kwa kuwa na vyanzo vingi vya kipato. Bahari huwa haikauki kwa sababu mito mingi inaishia kwenye bahari. Hiyo kama unataka usikaukiwe na fedha, kuwa na vyanzo vingi vya kipato.

(3) MATUMIZI NI BOMU.
Watu wengi wamekuwa wanaanza maisha na kipato kidogo, na yanaenda. Kipato kinaongezeka na matumizi yanaongezeka, kila kipato kinapoongezeka na matumizi pia yanaongezeka. Matumizi ni bomu kama hayatadhibitiwa. Matumizi yana tabia ya kuongezeka pale tu kipato kinapoongezeka.
Huwezi kuondoka kwenye umasikini kama huwezi kuyadhibiti matumizi yako. Haijalishi unatengeneza kipato kikubwa kiasi gani, matumizi ni bomu, usipolitegua litakulipua.

( 4 ).MADENI NI UTUMWA.
Umesikia hapo, na najua huenda kimoyomoyo unakataa, unajiambia siyo kweli, kwa sababu huenda umeshalishwa sumu kwamba bila madeni maisha hayawezi kwenda. Unajua nini, wale wanaonufaika na madeni ndiyo wanasambaza propaganda za aina hiyo. Madeni ni utumwa, na huwezi kuondoka kwenye umasikini kama huwezi kuondokana na madeni.
Kuna madeni mazuri na mabaya, na masikini wote huwa wapo kwenye madeni mabaya. Madeni mabaya ndiyo yanawafanya watu kuwa watumwa, wanajikuta wanafanya kazi sana kulipa madeni, halafu wanakopa tena. Kwa hiyo maisha yao yote yanakuwa mzunguko wa kopa, lipa, kopa tena.

( 5 ).BIASHARA NI MKOMBOZI.
Zile zama za nenda shule, soma kwa bidii, faulu na utapata kazi nzuri na inayolipa zimeshapitwa na wakati. Kila mtu anaona wingi wa watu wenye sifa za kuajiriwa, lakini hakuna nafasi za ajira. Na hata walioajiriwa, mazingira ya kazi na hata kipato wanachoingiza hakiridhishi.
Kwa zama tunazoishi sasa, mkombozi pekee, kitu pekee kitakachokuwezesha kuwa na maisha mazuri ni kuwa na biashara yako. Hivyo ni muhimu sana uwe na biashara kama unataka kutoka kwenye umasikini.

( 6 ). UWEKEZAJI NI KIJAKAZI WAKO.
Inapokuja kwenye fedha, kuna mambo mawili, kuna kuifanyia kazi fedha, pale ambapo inabidi ufanye kazi ndiyo fedha iingie. Halafu kuna fedha kukufanyia kazi wewe, ambapo fedha inaingia hata kama hufanyi kazi moja kwa moja.
Ili kuondoka kwenye umasikini na kufikia uhuru wa kifedha, ni lazima fedha ziwe zinakufanyia kazi wewe. Na hapa ndipo unapohitaji kuwa na uwekezaji, ambao unafanya kazi ya kuuzalishia fedha, hata kama wewe umelala.
( 7 ). KODI NI UWEKEZAJI.
Kodi ni gharama unayolipa kwa kuishi kwenye jamii iliyostaarabika. Ni kodi tunazolipa ndiyo zinazoleta huduma mbalimbali tunazozitegemea kwenye jamii. Huduma za afya, huduma za elimu, ulinzi na usalama, miundombinu kama barabara na mengineyo ni matokeo ya kodi tunazolipa.
Hivyo kodi ni uwekezaji ambao kila mmoja wetu anapaswa kuufanya ili tuwe na jamii bora. Tunapaswa kuondokana na dhana potofu kwamba kodi ni kitu kibaya. Kwa sababu hebu pata picha, umekazana kutafuta fedha na ukawa tajiri, halafu unaishi sehemu isiyo salama, je utaweza kufurahia utajiri wako?
(  8 ).BIMA NI MKOMBOZI.
Kuna hatari mbalimbali ambazo zinatuzunguka kwenye maisha, na kadiri unavyopiga hatua kifedha, ndivyo hatari zinakuwa kubwa zaidi. Hili limekuwa linazua hofu kwa wengi na wakati mwingine kuwazuia hata kufanikiwa.
Ili kuondokana na hatari zinazokuzunguka na kukuzuia kuanguka pale unapokutana na changamoto kubwa, unapaswa kuwa na bima. Kwa bima unachangia kiasi kidogo cha fedha, lakini unapopata tatizo, unalipwa kiasi kamili cha fedha au mali ulizopoteza.

( 9 ). WATOTO WAKO HAWAHITAJI FEDHA ZAKO.
Wazazi wengi wamekuwa wanakazana kutafuta fedha na mali kwa wingi, ili kuwaachia watoto wao urithi na wasiwe na maisha magumu. Lakini wote tumekuwa tunaona nini kinatokea baada ya wazazi hao kufariki, utajiri na mali zote zinapotea, kwa kutumiwa vibaya na watoto walioachwa.
Watoto wako hawahitaji sana fedha wala mali zako, bali kikubwa wanachohitaji ni msingi muhimu wa kufuata na kusimamia inapokuja kwenye swala la fedha. Kuliko uwape watoto fedha bila ya misingi, ni bora uwape misingi bila ya fedha. Kwa sababu misingi itawawezesha kupata fedha zaidi wakati fedha pekee bila misingi zitapotea.

( 10 ). KUTOA NI UWEKEZAJI.
Mmoja wa watu matajiri sana kuwahi kuwepo hapa duniani, John D. Rockefelar amewahi kunukuliwa akisema unatumia nusu ya kwanza ya maisha yako kukusanya fedha, halafu nusu ya pili unaitumia kuzigawa fedha hizo kwenda kwa wengine.
Moja ya vitu vinavyowafanya matajiri kuendelea kuwa matajiri ni utoaji. Matajiri wengi wamekuwa watoaji wa misaada mbalimbali ya kijamii na hilo limekuwa linawasukuma kufanikiwa zaidi kifedha. Hivyo kutoa ni uwekezaji ambao unamlipa sana mtu baadaye.