Wednesday, July 10, 2019

FURSA 28 KATIKA SEKTA YA MICHEZO NA BURUDANI -------------------" Fursa Afrika Mashariki Blog "

 SEKTA YA  MICHEZO  ina  fursa  nyingi  sana  ambazo  zinaweza  kumnufuaisha  MJASIRIAMALI  mwenye  hari  ya  kuwekeza  kwenye  sekta  hii. Gundua  fursa  unazoweza  kufanya  kwenye  sekta  ya  michezo.

Je, wewe  ni  mpenzi  wa  BURUDANI  ? Je,  umewahi  kujiuliza  watu  kwenye sekta  hii  wanapataje  pesa ? Basi  hilo  lisikupe  maswali  mengi  sana  kwa  sababu mimi   MJASIRIAMALI  nipo  wewe  katika  kila  jambo.Fuatilia " Darasa  la  Semina  kujua   fursa  unazoweza  kuwekeza  kwenye  sekta  hii  ya  burudani.


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali zilizojificha katika  
'SEKTA   YA MICHEZO & BURUDANI "jiunge   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  na    " DARASA  LA  SEMINA "   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10000  kwa  Mwezi ) ili   uweze  Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA.

Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama   hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA "  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

No comments:

Post a Comment