Tuesday, July 16, 2019

FURSA 19 KATIKA SEKTA YA ELIMU ----------------------------" Fursa Afrika Mashariki Blog "

Mara  kadhaa  tumesikia  watu  wakisema  "ELIMU   NI  UFUNGUO  WA  MAISHA ". Lakini  ni  mara  chache  sana   tumechukua   MUDA  kutafakari  kwa  kina   undani    wa  kauli  hii. Pamoja   na  yote  yanayosemwa, ukweli  utabaki   kuwa  kweli  ndio   nguzo  pekee  ya   kumsimika  mwanadamu   katika maisha.
ELIMU  humpatia   mtu    msingi  wa  kifikra  na maarifa   stahiki  ya  kuweza  kupambanua  maisha , kufanya  kazi   vyema  na  kuwasiliana  na  watu. Tukiachlia  hayo , elimu  ina   faida  nyingi  sana , elimu  itakufanya  uishi  maisha  yenye  FURAHA, UHURU , KUJITEGEMEA , KUTAFSIRI  NDOTO  zako , ELIMU  itakufanya   ujiamini  hasa  pale  unapoongea  na  watu, hukuunganisha  na  dunia  , kuelewa  tamaduni  mbalimbali  za  watu duniani , pamoja  na kukutayarisha  kuwa  na  mafanikio. SEKTA   YA  ELIMU  ni  sekta  ya   mabilioni    ya  pesa  duniani  kote. Vile  vile  ni  sekta  pana  na  iliyojigawa    sana   kati  ya  sekta   zote   naweza  kusema.Ukianzia  shule  za  awali  , shule  za  msingi , shule  za  kati , sekondari , vyuo  vya  ufundi  kama  vile  VETA , vyuo  vya   ualimu  na  vyuo   vikuu  utagundua  ukweli  kuwa   ukubwa  wa  sekta  hii  unabainisha  wazi  kabisa  FURSA  zilizopo  kwenye  SEKTA   YA  ELIMU . Kwa  ufupi   ebu  tuangalie  fursa  zilizopo  kwenye  sekta  ya  elimu  ambazo  wewe  MJASIRIAMALI  unaweza  kufanya   leo  na  kupata   UTAJIRI


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali zilizojificha katika  
'SEKTA   YA ELIMU "jiunge   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  na    " DARASA  LA  SEMINA " ( Google  Classrom )  kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10000  kwa  Mwezi ) ili   uweze  Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UYAJIRI.

Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama   hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

No comments:

Post a Comment