Saturday, July 20, 2019

FURSA TISA ( 09 ) ZA BIASHARA KATIKA HUDUMA ZA KIFEDHA ------------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

Kuna  msururu  wa   FURSA  katika  Sekta  ya   Fedha   na  Uchumi  ambazo   MJASIRIAMALI  unaweza   kuwekeza. Kama  umesomea   Uchumi  au  Elimu  yeyote  inayohusiana  na  FEDHA basi   unabahati  kwa   kuwa  mambo  mengi  nitakayokelezea  utanielewa  kwa  haraka.Kumbuka  sio   lazima  Usome  Uchumi  ndio  uwekeze  kwenye   sekta   hii ,  HAPANA ! Hiyo  ni  sehemu  ndogo  tu  kwenye   picha   kubwa. Unaweza   kuwekeza  Fursa  zote  za  Kifedha  endapo  utakuwa   na   nia  na  kugundua  FURSA  sahihi  inayokufaa.

MUHIMU : Ili   kuendelea  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha    katika  
'HUDUMA  ZA  KIFEDHA"jiunge   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

Ukishatuma  ADA  tuma  pia  EMAIL  yako  kwa  njia  ya  Meseji kuhusu  malipo tayari  kwa   kuunganishwa.


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539

Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "


ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

No comments:

Post a Comment