Saturday, July 6, 2019

FURSA 17 KATIKA SEKTA YA AFYA , MADAWA NA MATIBABU------------" Fursa Afrika Mashariki Blog "

AFYA , MADAWA  na MATIBABU    ni  eneo  nyeti   sana  ambalo  sio  la   kufanyia   mzaha.SEKTA  hii  ni  muhimu  sana    kwa  binadamu  ndio   maana  hata  katika  kipindi  kigumu   sana  cha   kiuchumi  watu  wanaweza  kupunguza  manunuzi  ya  vitu  vya   starehe  lakini  hawawezi  kubana  matumizi  kwenye  sekta  hii. Ukweli  ni  kwamba  mtu  akikosa  huduma  sahihi  kipindi  cha  ugonjwa  wake  anaweza  kupoteza  maisha. Je, una  ELIMU juu  ya  maswala  ya  matibabu ? Ungependa   kuwekeza  kwenye  sekta  hii  HATA  KAMA  HAUNA  ELIMU  YA  AFYA ?   Mdau  wangu , Rafiki  Yangu Soma  Na  Ujifunze  fursa  mbalimabali  zinazopatikana  kwenye   sekta  hii kwa  KUJIUNGA UANACHAMA.
 
MUHIMU : Ili  kuendelea   Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali zilizojificha katika SEKTA  hii ya  " AFYA , MADAWA  NA  MATIBABU " ,  jiunge   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  na    " DARASA  LA  SEMINA "   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10000  kwa  Mwezi ) ili   uweze  Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA.

Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama   hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA "  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO , CHANGAMOTO ,MASULUHISHO kwa  Email  hii :-- EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

No comments:

Post a Comment