Sunday, July 21, 2019

FURSA 31 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA UJENZI NA MAJUMBA----------------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

 FURSA   katika  SEKTA  YA  UJENZI imenufaisha  wafanyabiashara  wakubwa  duniani. Mfano  mzuri  ni  Rais  wa  Marekani ,  DONALD  TRUMP  ambaye  amepata   UTAJIRI  wake  kwenye  kuwekeza  kwenye  SEKTA  YA  UJENZI  NA  MAJUMBA.Bila  shaka  kutokana  na  tambo  za  bilionea   huyu , Rafiki  yangu , mdau  wangu  utakuwa  umekwisha  sikia  jengo   lenye  jina   la  huyu  mtu  maarufu   la  "  TRUMP  TOWER "  yaani  " MNARA  WA  TRUMP ". Sio  lazima  uwe  na  MTAJI  WA  MAMILIONI  YA  PESA ndio  uwekeze  kwenye  MAJENGO. Unaweza  kuanza  kidogo  na  ukaendelea  kupanua  biashara  yako  kadri  siku  zinavyozidi  kusonga  mbele. Kama  una  LENGO   au   ungetamanai  kuwekeza  kwenye   MAJENGO  endelea  kusoma  na  kujifunza  fursa  zilizopo  kwenye  jukwaa  hili.



MUHIMU : Ili   kuendelea Kusoma na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  
'SEKTA  YA UJENZI   NA  MAJUMBA "jiunge   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " ili  usome  MAKALA  mbalimbali   kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )---ONLINE   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

Ukishatuma  ADA  tuma  pia  EMAIL  yako  kwa  njia  ya  Meseji kuhusu  malipo tayari  kwa   kuunganishwa.


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

No comments:

Post a Comment