Wednesday, August 7, 2019

FURSA 35 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA --------------------" Fursa Afrika Mashariki Blog "

Shughuli  nyingi  za  wanadamu  zimekuwa  sio  rafiki  kwa  mazingira. Ukiangalia  kuanzia  shughuli  za  kilimo, viwanda, michezo  na  ufugaji  utagundua  kuwa   wanadamu  wanahusika  sana  katika  kuharibu  mazingira.Serikali  na  mashirika  mbalimbali  yamekuwa   yakipiga  kelele  juu   ya   utunzaji  wa  mazingira. Ipo  misemo  mingi  ya  kuhamasisha  watu  kutunza  mazingira , Mfano ,  "  Kata  mti panda  mti "  ,  " tunza  mazingira  yakutunze "  na  mingine  mingi . Uharibifu  huu  kwetu  sisi  WAJISIRIAMALI   ni  fursa  nzuri  nzuri  ya  kutengeneza  PESA.Kuna   fursa   nyingi  sana  kwenye   "SEKTA  YA  UTUNZAJI  WA  MAZINGIRA" . Ili  kufahamu   "SEKTA  YA  UTUNZAJI  WA  MAZINGIRA"  ina   FURSA   zipi mbalimbali   unazoweza  kuwekeza , tafadhali ,  endelea  kusoma na kufutana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.
( DARASA   LA  GOOGLE )


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  SEKTA  YA   NISHATI    NA  MADINI"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

No comments:

Post a Comment