Friday, January 4, 2019

TUMIA KAULI HII KILA SIKU , " MIMI NI TAJIRI MAFUNZONI " NA EPUKA KAULI HII , " MIMI NI MASKINI " AU " SISI NI WATU MASKINI "

Ndugu yangu, mdau  wangu  kama kuna kitu kimoja unachopaswa kukikataa kwa mwaka 2019 basi ni kukiri umasikini. Usikiri kwa kinywa chako kwamba wewe ni mtu masikini au mtu mnyonge, utaendelea kubaki kwenye hali hiyo.
Hata kama huna fedha, usijiite masikini, badala yake jiite tajiri mafunzoni. Tumia kauli chanya kuhusu fedha na utajiri na hilo litakaribisha fedha kwako zaidi na zaidi.

No comments:

Post a Comment