Tuesday, January 29, 2019

JE, WEWE NI MJASIRIAMALI ? TAMBUA JINSI YA KUKABILIANA NA HALI YOYOTE ILE.

Unapoingia kwenye biashatra na huku ukaingia na mawazo ya aina moja tu kwamba mimi naenda kupata, basi utakuwa unajiweka kwenye wakati mgumu sana. Kwa kuwa umechagua kuingia kwenye biashara ujie kabisa kuna kupata na kukosa.
Inapotokea umepata unashukuru Mungu, lakini inapotokea umekosa pia unashukuru Mungu kwa matokeo hayo na kuchukua uamuzi wa kusonga mbele. Usiingie kwa akili ya kupata moja kwa moja utapotea.

No comments:

Post a Comment