Tuesday, January 29, 2019

KILA MJASIRIAMALI ANAPENDA KUFANIKIWA SANA !! LAKINI --------------------!!

Kila mtu anatamani biashara anayoifanya ifanikiwe, kila mtu anatamani akiingia kwenye ujasiriamali mambo yake yanyooke sana na yawe ya mafanikio makubwa. Hiki ndicho kitu ambacho watu wengi sana wanapenda kiwe kwenye maisha yao.
Hata hivyo uelewe hivi, unapochagua kuingia kwenye biashara, ujue kabisa umechagua kabisa kuingia kwenye ulimwengu wa wapambanaji haswa, yaani ulimwengu wa ujasiriamali. Hivyo, unapoingia kwenye dunia ya ujasiriamali kuna mambo lazima uyajue kwanza.
Pasipo kuyajua mambo hayo, nakuhahakikishia kabisa, utakwama sana na itafika mahali utajiona wewe si kitu na si lolote.

No comments:

Post a Comment