Sunday, October 7, 2018

WHAT IS A HAPPY LIFE ??

Kauli ya Seneca kuhusu kuishi kwa furaha;

“What is a happy life? It is peacefulness and lasting tranquillity, the sources of which are a great spirit and a steady determination to hold fast to good decisions. How does one arrive at these things? By recognizing the truth in all its completeness, by maintaining order, moderation and appropriateness in one’s actions, by having a will which is always well-intentioned and generous, focused on reason and never deviating from it, as lovable as it is admirable.” – Seneca, Letters, 92.3

Seneca anauliza maisha ya furaha maana yake nini? Ni maisha ambayo yana amani na utulivu, ambayo chanzo chake ni imani kuu na maamuzi ya kushikilia maamuzi sahihi. Na je mtu anawezaje kufikia hili? Ni kwa kugundua ukweli kamili, kwa kuenda kulingana na mipango, kuwa na kiasi katika matendo na kuwa na nia njema na ukarimu, kuongozwa na fikra sahihi na kutokupotoka.

No comments:

Post a Comment