Sunday, September 2, 2018

USIOGOPE KUACHA KITU KAMA HAKINA TIJA.


Usiogope kuacha kitu pale unapoona hakikupi matokeo uliyotaka. Watu wengi huwa wanafikiria kuacha ni kushindwa. Siyo sahihi, unaweza kuacha kitu ambacho hakifanyi vizuri na kufanya kingine ambacho kitakuwezesha kufanikiwa zaidi.


Na  Mwl  Japhet  Masatu , Dar  es  salaam , Tanzania,  Afrika Ya  Mashariki  /+ 255 755 400 128 / + 255 716 924136(WhatsApp ).  EMAIL: japhetmasatu@gmail.com

No comments:

Post a Comment