Sunday, September 2, 2018

FANYA MAAMUZI KWA WAKATI.

Fanya maamuzi wakati unapokutana na hitaji la kufanya maamuzi. Usijiambie wacha nifikiri nitaamua baadaye. Kama kitu ni muhimu fanya maamuzi sasa, au hutayafanya kabisa. Maamuzi yanayosogezwa mbele ni maamuzi ambayo yamekuwa hayafanywi.

Usiogope kukosea pale unapochagua kufanya maamuzi. Ni bora ufanye maamuzi ukosee, kwa sababu utarekebisha makosa yako, kuliko kutokufanya maamuzi kabisa.


Na  Mwl  Japhet  Masatu , Dar  es  salaam , Tanzania,  Afrika Ya  Mashariki  /+ 255 755 400 128 / + 255 716 924136(WhatsApp ).  EMAIL: japhetmasatu@gmail.com

No comments:

Post a Comment