Monday, September 15, 2014

TAMBUA KIPAJI CHAKO.

                    ANAYEFANIKIWA     NI    YULE     ANAYEJIJUA ,   ANAYEJITAMBUA

MAFANIKIO   YA  PESA    kwa     asilimia  kubwa   yako  ndani   ya    KIPAJI  CHAKO.


Hapa    duniani ,  watu    waliofanikiwa   wana   kitu   kinachofanana.  WANAPENDA   WANACHOFANYA.  Huwezi   kuwakuta    watu     waliofanikiwa    WAKICHUKIA   WANACHOFANYA.   Tabia   hii   wanayo  watu   wanaojiona    ni   MASKINI.  Unafikiri  ni    MASKINI  WA   NINI ?     NI    MASKINI   WA  AKILI .  Tabia  yao    hawa     WANACHUKIA   WANACHOFANYA.


UNAWEZAJE    KUFAHAMU  KIPAJI  CHAKO ?

---Fikiria  MICHEZO  uliyokuwa  unapendelea    utotoni. Nini    ulikuwa   unapendelea  pindi    ulipokuwa  mdogo.  Ulifikiria   kuwa   nani   ukubwani  ?


---Waambie    rafiki   zako    wa    karibu    kuwa , unataka    KUTAFITI   KUJUA   KIPAJI     CHAKO    na    unahitajji   MAWAZO     YA   KWELI  KUTOKA  KWAO.


--TUNAJINYIMA    Wenyewe  FURSA   ya  kupata    PESA   kwa   sababu  ya    KUPUUZA   VIPAJI   VYETU.   Kila    MTU   ana   jambo  analoliweza ,  pia  kukiwa   na   MAMILIONI   YA     MAMBO  ASIYOYAWEZA

---TUWACHUNGUZE    WATOTO   WETU  WANAPENDELEA  NI NI  ?WANAWEZA  NINI  ?
---GUNDUA  KITU  UNACHOKIPENDA !!

No comments:

Post a Comment