Friday, September 19, 2014

MAARIFA YA KUPATA PESA NA UTAJIRI ----KUWA NA UKUMBI WA KUKODISHA.

Ukipata   MTAJI    WA  KUTOSHA  jenga  au  tengeneza   ukumbi   kwa   ajili   ya   kukodisha --- SHEREHE , MIKUTANO , SEMINA  n.k.  kila   siku   mambo  hayo    yapo na   yanafanyika. Ni   wewe   kuchangamka !! Unagaharamia  mwanzo   tu   baada  ya  hapo  unabaki   kuzivuna  FEDHA   siku   nenda   rudi. 

Kwa   ukumbi   wa   kawaida  ni  kati  ya   shs.  50,000  hadi   100,000  kwa   siku.  Kumbi  kubwa {  hasa  za   sherehe } ni  laki  tano   hadi  milioni   kwa   siku    kwa   maeneo  ya  mijini  kama   DAR--ES--SALAAM. 

Ukiwa  na   KUMBI   kama   tatu   hivi  na  zaidi   PIGA  mahesabu    mwenyewe       una shilingi   ngapi  ?  FEDHA   NYINGI SANA!!  ACHA   KUBWETEKA  !!!  CHANGAMKA   SASA !!!  

No comments:

Post a Comment