Monday, September 8, 2014

JITAHIDI KUFANYA VIZURI SANA.

KAMA  UNATAKA  KUFANYA  VIZURI  SANA  KATIKA  MAISHA , HUNA  BUDI  KUWA   TAYARI  KUPAMBANA  NA  VIKWAZO  VINGI.  Kikwazo  kikubwa    kuliko  vyote   NI    MAWAZO  YAKO    MWENYEWE ,  Yanayokusukuma   kwenye  Kwenye   STAREHE   na   MAMBO  RAHISI.


     Kujinyima   hukuwezesha    KUSHINDA  VIZUIZI   NA   KUFANYA   VIZURI  SANA.  Ni   vigumu   kupata    MAENDELEO  YETU  WENYEWE  KWA   SABABU    KWA   KAWAIDA   TUNAPENDA   NJIA   RAHISI. LAKINI  KWA  KULITAMBUA    HILI , TUNAIFANYA  FURAHA  YETU   Kuwa   kubwa   zaidi   pale    tunapobaini  JITIHADA   ZETU   ZIKITOA   MATUNDA.





UWEZO----  Uwezo   mkubwa  kuliko   wote   ni  ule   wa   kuishinda  nafsi   yako   mwenyewe.

No comments:

Post a Comment