Wednesday, September 10, 2014

JE, WEWE NI MJASIRIAMALI ? USIKWEPE KODI , LIPA KODI .

KATIKA   MAZINGIRA    YA   SOKO    HURIA , FAIDA    inayopatikana  katika   BIASHARA  inatakiwa   kuwa     " TUZO  tu   ya   uendeshaji   wa    BIASHARA  katika   njia  inayokubalika.. "  Kwa  wale   wanaopenda  kukwepa   KULIPA  KODI , WAEPUKE    HISIA  MBAYA   dhidi   ya   KODI ,  NA   KUIFIKIRIA   KODI   kama   matumizi  ya  lazima  ya    biashara  , ,  tunayopaswa  KULIPA  kwa    lengo   la  KUSAIDIA JAMII  tunayofanya   nayo   BIASHARA   ZETU.   HATUPASWI KUFICHA  FAIDA  YETU   KICHOYO   ETI   ISIKATWE  KODI !!

    FAIDA   YA   KWELI   katika  BIASHARA    ni  ile    inayotokana   na   Ongezeko   la   MAUZO  pamoja   na   UPUNGUZAJI  WA   GHARAMA  ZA   UZALISHAJI , SIYO  KWA    KUUZA   BIDHAA  KWA   BEI  YA  JUU.

     SIRI   YA     MAFANIKIO  IKO    KWENYE   KUPATA   HESHIMA   KUTOKA  KWA   WATEJA  WAKO  PAMOJA  WALE   UNAOWAONGOZA.    WATEJA  wako  wanapaswa  kuridhika   kuwa   PESA  wanayolipa   inalingana  na   thamani  halisi  ya  bidhaa   au  huduma   wanazopata   toka   kwako .

No comments:

Post a Comment