Wednesday, September 10, 2014

KANUNI MUHIMU YA MAFANIKIO KATIKA MAISHA.




                " MAFANIKIO == UWEZO   X     JUHUDI    X    MTAZAMO."



 " UWEZO  ni     talanta   ambayo   kila    mmoja     wetu  huzaliwa     nayo.

" MAFANIKIO   yanapatikana   pale   tunapoweka    JUHUDI    katika   kutumia    UWEZO   tulionao , vyote      vikizidishwa   na      MATAZAMO  tunaokuwa    nao.


"MTAZAMO "  hupimwa  kwenye    KIWANGO  kutoka     --100    hadi    +100.    MATOKEO  YA   MAISHA  YETU   hutegemea  zaidi   MTAZAMO    WETU       NI    HASI {--}   AU     CHANYA{ +}
, na   hivyo    KUFANIKIWA     AU   KUTOFANIKIWA  hutegemea  zaidi    MTAZAMO    WETU   WENYEWE.

No comments:

Post a Comment