Wednesday, April 17, 2019

KWA KUFANYA MACHAGUO HAYA TUTAWEZA KUDHIBITI MAISHA YETU.


1. Kuwa wewe, usiwe wao.
 
2. Fanya zaidi, tarajia kidogo.
 
3. Kuwa chanya, usiwe hasi.
 
4. Kuwa suluhisho, usiwe tatizo.
 
5. Kuwa mwanzilishi, usiwe mkwamishaji.
 
6. Hoji zaidi, amini kidogo.
 
7. Kuwa mtu fulani, usiwe mtu yeyote.
 
8. Penda zaidi, chukia kidogo.
 
9. Toa zaidi, pokea kidogo.
 
10. Ona zaidi, angalia kidogo.
 
11. Weka akiba zaidi, kuwa na matumizi kidogo.
 
12. Sikiliza zaidi, ongea kidogo.
 
13. Tembea zaidi, kaa kidogo.
 
14. Soma zaidi, angalia kidogo.
 
15. Jenga zaidi, bomoa kidogo.
 
16. Sifia zaidi, kosoa kidogo.
 
17. Safisha zaidi, chafua kidogo.
 
18. Ishi zaidi, usiwe upo upo tu.
 
19. Kuwa majibu, usiwe maswali.
 
20. Kuwa mpenzi, usiwe adui.
 
21. Kuwa mtuliza maumivu, usiwe mtoa maumivu.
 
22. Fikiri zaidi, itikia kidogo.
 
23. Kuwa wa tofauti, usiwe wa kawaida.

No comments:

Post a Comment