Friday, February 22, 2019

JE , WAFAHAMU KILA KIUMBE KINA NGUVU YA UKUAJI NDANI YAKE ? KWANINI USIITUMIE NGUVU ULIYONAYO TAYARI KWA AJILI YA MAFANIKIO YAKO ?

Kwa asili, kila kiumbe kinachozaliwa kina nguvu ya ukuaji ndani yake. Sisi hatuna cha kufanya kukiwezesha kitu hicho kikue, badala yake jukumu letu ni kuondoa vikwazo vya ukuaji.

No comments:

Post a Comment