Thursday, April 16, 2020

UJASIRIAMAARIFA , LIPWA KWA MAARIFA NA TAARIFA ULIZONAZO.

Tunaishi kwenye zama za  TAARIFA  na  / MAARIFA ,Hivyo mwenye maarifa na taarifa zenye manufaa makubwa kwa wengine, ndiyo wanaonufaika sana.Na hapo kuna aina mpya ya ujasiriamali ambao unahusisha maarifa, ambao tunauita UJASIRIAMAARIFA.Kupitia ujasiriamali huu, unaweka maarifa na taarifa ulizonazo kwenye kifurushi ambacho wengine wanaweza kununua kama nakala ngumu (HARDCOPY ) au tete.( SOFTCOPY )

Unaweza kujifunza kwa kina kuhusu ujasiriamaarifa katika   Mada  ya  JINSI YA KUTENGENEZA FEDHA MTANDAONI KWA KUTUMIA BLOG.  Una maarifa na taarifa nyingi, anza kuziuza sasa .

 WASILIANA  NA  KOCHA  MWL  JAPHET MASATU AKUTENGEHEZEE  BLOG  YAKO LEO NA  UJUE  JINSI YA  KUFANYA  HIVYO. ----- Call / SMS / WhatsApp / +255 716924136 /  + 255 755 400128  / + 255 688361539

No comments:

Post a Comment