Thursday, December 19, 2019

WENGI TUNAISHI KIMAZOEA---------- ?????

Moja ya vitu vinavyowazuia watu wengi kupiga hatua kwenye maisha ni kukosa kipimo sahihi cha kujipima na kujifanyia tathmini kwenye maisha yao. Wengi wanaishi kwa mazoea, leo wakifanya kile walichofanya jana, na kesho kwenda kufanya kile walichofanya leo. Halafu wanaweza kulalamika kwa nini wanajituma sana lakini hawafanikiwi

No comments:

Post a Comment