Friday, December 20, 2019

KUWA MKWELI KWAKO ------- ???

Dunia inatupa kila fursa ya kukata kona, kuchukua njia za mkato kwenye kila ambacho tunafanya. Ni rahisi kufanya hivyo kwa sababu kila mtu anafanya hivyo. Lakini pale unapofanya kitu kisichokuwa sahihi, ni wewe ambaye utabeba matokeo yake na hilo litakusumbua kwa muda mrefu. Kuepuka usumbufu unaotokana na yale uliyofanya, ni muhimu kuwa mkweli kwako binafsi.


No comments:

Post a Comment