Saturday, May 15, 2021

JIFUNZE IMANI SAHIHI ITAKAYOKUSAIDIA ULIPWE ZAIDI. USITEGEMEE MSHAHARA PEKEE UTAKUFA MASKINI.

 Sio siri tena kwenye hii karne ya 21,

Mambo yamebadilika sana.

Sahau kila kitu ulichowahi kusikia kuhusu kulipwa.

Sasa kuna njia bora ya kulipwa zaidi kuliko ilivyokuwa imezoeleka karne ya 20.

Ni njia ambayo haizungumzwi sana lakini inafanya kazi kwenye hii karne ya 21.

Haijalishi umeajiriwa au umejiajiri,

Inafanya kazi kwenye hali zote mbili.

Ukweli ni kwamba,

Kwa sasa haulipwi kutokana na masaa unayofanya kazi,

Bali unalipwa kulingana na matokeo unayozalisha.

Unapozalisha matokeo makubwa zaidi unalipwa kiasi kikubwa cha fedha.

Unapozalisha matokeo madogo zaidi unalipwa kiasi kidogo cha fedha.

Angalia huu u tofauti hapa chini,

Kuhusu imani walizonazo matajiri na masikini kuhusu kulipwa.

Matajiri huwa wanachagua kulipwa kwa matokeo wanayozalisha na hapo wanazalisha matokeo makubwa zaidi na kulipwa kiasi kikubwa cha fedha.

Masikini wanachagua kulipwa kwa muda wanaotumia kufanya kitu na kwa kuwa muda una ukomo,

Wanajiwekea ukomo kwenye kipato chao.

Matajiri wote wamepata utajiri wao kupitia njia ambazo hazitegemei muda wao.

Kwa mfano kumiliki biashara inayojiendesha yenyewe ,

Kufanya uwekezaji maeneo yanayozalisha na kadhalika.

Kulipwa kwa muda ni kupitia mshahara au huduma binafsi ambazo mtu anatoza gharama kwa muda.

Hakuna mtu amewahi kufikia utajiri mkubwa kwenye maisha yake kwa kutegemea mshahara pekee.

Hata mshahara uwe mkubwa kiasi gani, bado unakuwa na ukomo.

Na mbaya zaidi, kadiri mshahara unavyokuwa mkubwa, ndivyo makato yanavyokuwa makubwa pia.

Kulipwa kwa muda ni kujiwekea ukomo na kanuni ya kwanza na muhimu kwenye fedha ni kuhakikisha huweki ukomo kwenye kipato chako.

Chagua kulipwa kwa matokeo na thamani unayozalisha ambayo haina ukomo,

Badala ya kutaka ulipwe kwa muda ambao una ukomo.

Je, ungependa ulipwe zaidi kwa kile unachofanya?

Kama ni ndio, KARIBU  UJIUNGE , " DARASA ONLINE "

Ujifunze njia na hatua za kuchukua ili ulipwe zaidi.

Utajiri ni mchezo,

Mchezo ambao una kanuni zake na sheria zake,

Na ili uweze kushinda mchezo huu,

 Lazima uzijue kanuni na uzishike sheria.

Haiwezekani kabisa kwa mtu ambaye hajui kanuni za mpira wa miguu,

Hana mazoezi akaenda uwanjani na kushinda.

Wengi wamekuwa wanaingia kwenye mchezo wa utajiri kama vile ni kitu cha kubahatisha,

Hawajui kanuni wala sheria,

Hawana maandalizi na kinachotokea ni kushindwa vibaya sana.

Karibu sana  UJIUNGE  " DARASA  ONLINE " UJIFUNZE  TABIA ZA KITAJIRI ILI  KUFIKIA  MAFANIKIO  MAKUBWA.

Ujifunze kwa kina na kuyaelewa maarifa haya muhimu sana kwako,

 Kisha uchukue hatua ili maisha yako yaweze kubadilika, ufike kwenye utajiri, mafanikio na furaha.

 

TUWASILANE  SASA, 

Ndimi  Rafiki   yako

Kocha  Mwl  Japhet  Masatu , Dar es  salaam , Tanzania.

 (WhatsApp + 255 716 924136 ) / + 255 755 400128  / + 255 688  361  539 / + 255 629748 937

EMAIL : japhetmasatu@gmail.com

 

No comments:

Post a Comment