Saturday, June 4, 2016

WATANZANIA WANACHUKUA HATUA KUDHIBITI KISUKARI ?

Takwimu kutoka za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonyesha idadi ya watu wanaoishi na ugonjwa wa kisukari imeongezeka mara nne zaidi na kufikia watu milioni 422 mwaka wa 2014 kutoka watu milioni 108 waliokuwa na ugonjwa huo katika miaka ya 80.
Je, tunachukua tahadhari ya kutosha kujiepusha na athari za ugonjwa wa kisukari?

CHANZO  CHA  HABARI: BBC  SWAHILI,  23,MEI  2016

No comments:

Post a Comment