Monday, September 23, 2019

A Simple System To Transform Any Business From A Cash-Eating Monster To A Money-Making Machine

1 comment:

  1. Katika kitabu chake Mike Michalowicz anatuambia biashara nyingi zimekuwa zinaendeshwa bila ya kutengeneza faida, kitu kinachopelekea biashara hizo zife. Hivyo anatuambia njia pekee ya kuendesha biashara yenye mafanikio, ni kwa kuanza kupata faida kwanza kabla ya mengine yote. Mike anasema, faida kwenye biashara inapaswa kuanza kupatikana siku ya kwanza unapoanza biashara, na siyo kusubiri mpaka siku zijazo.

    Nani asiyependa kuwa na biashara inayoingiza faida kubwa? Nani anayependa biashara yake ife kwa kukosekana kwa faida? Naamini wote tunapenda biashara zenye faida, hivyo nikukaribishe tena

    ReplyDelete