Ni yule anayejifunza kila siku.
Anayefikiria tofauti.
Anayejua kutumia lugha ya wateja.
Anayeuza kwa hisia, si bei.
Wewe je?
Upo kwenye biashara kwa bahati,
Au umeamua kuwa MJASIRIAMALI MJANJA?
Kumbuka hii ya mwisho:
Wakati wengine wanauza bidhaa,
MJANJA ANAUZA STORI INAYOCHOMA MOYO.
MUHIMU; Kama bado hujasoma kitabu cha MJASIRIAMALI MJANJA,
Ukweli ni kwamba unajipunja,
No comments:
Post a Comment