MUNGU alitupatia DUNIA hii ikiwa haiko kamili ili nasi tushiriki katika UUMBAJI ( UBUNIFU ).MUNGU alifanya MITI lakini hakufanya VITI , KABATI , MEZA , n.k. MUNGU alitengeneza ARDHI na MADINI lakini hakufanya MAGARI , VIOO , MABATI , n,k, MUNGU hakufanya vyote hivyo akijua SISI ametuumba tukiwa na KIPAJI CHA UBUNIFU.
TUNAPOBUNI kitu chenye kusaidia binadamu tunapata MAFANIKIO. CHA AJABU SISI TUMEKUWA SIYO WABUNIFU , TUNALALAMIKA UMASKINI NA KUWA OMBA OMBA.
( BY MWL / KOCHA / COACH / MWANDISHI / BLOGGER , MOTIVATIONAL / PUBLIC SPEAKER JAPHET MASATU-----CALL / SMS / WHATSAPP + 266 716 924136 / + 255 755 400 128


