BADILI FIKRA.FIKIRI TOFAUTI .BADILI MAISHA.JITAMBUE .JIFUNZE ELIMU YA SAIKOLOJIA,TEOLOJIA , FEDHA ,UTAMBUZI(SELF HELP EDUCATION),FALSAFA YA MAISHA,MAISHA NA MAFANIKIO,BIASHARA / UJASIRIAMALI.FURAHIA WASAA WAKO NA MAISHA NA MAFANIKIO BLOGU.THIS IS THE COMMUNITY CAPACITY BUILDING BLOG.ENJOY THE BLOG.STRETCH YOUR MIND. YOU CAN CHANGE YOUR LIFE FOR EVER. YOU CAN ACHIEVE EXCELLENCE.YOU CAN MAKE A DIFFERENCE. JIFUNZE ---ELIMIKA --CHUKUA HATUA---FANIKIWA
Monday, June 30, 2025
Saturday, June 28, 2025
Thursday, June 26, 2025
Wednesday, June 25, 2025
FANYA KITU HKI KILA SIKU ILI UWEZE KUISH NDANI YA SIKU YAKO KWA USHINDI MKUBWA SANA. -------CALL / SMS / WHATSAPP + 255 716 924 136
Kabla ya kuianza siku yako, hakikisha umeipangilia vizuri. Hakikisha unajua kila kitu unachoend akufanya ndani ya siku husika kwa usahihi. HILI LITAKUSAIDIA SANA KUONDOA MWANYA WA WEWE KUFANYA MAMBO AMBAYO SIYO SAHIHI
Kumbuka kwamba unapoipoteza siku moja, unakuwa siyo tu unaipoteza hiyo. unakuwa unapoteza maisha yako. Sasa utapoteza maisha yako mara ngapi? kumbuka muda unaopita leo haurudi tena. Ukienda ndiyo umeenda huo. Ni muhimu sana kwako kuhakikisha kwamba muda wote na mara zote unakuwa na ratiba maalum ili kujiepusha na kupoteza muda kwa kufanya vitu ambavyo siyo vya msingi.
Unapokuwa bize kwenye ratiba yako muda wote maana yake unakuwa unaifanya akili yako pia iwe bize. Usipokuwa bize ni sawa na kutimiza ule usemi unaosema kwamba an empty miund is devils workshop.
Hii ndiyo kusema kwamba ukisoma kitabu unajiepusha na majanga mengi.