Friday, December 20, 2019

KUWA MKWELI KWAKO ------- ???

Dunia inatupa kila fursa ya kukata kona, kuchukua njia za mkato kwenye kila ambacho tunafanya. Ni rahisi kufanya hivyo kwa sababu kila mtu anafanya hivyo. Lakini pale unapofanya kitu kisichokuwa sahihi, ni wewe ambaye utabeba matokeo yake na hilo litakusumbua kwa muda mrefu. Kuepuka usumbufu unaotokana na yale uliyofanya, ni muhimu kuwa mkweli kwako binafsi.


Thursday, December 19, 2019

NENDA HATUA KWA HATAUA !! ----COACH MWL. JAPHET MASATU

USIDHANIE UNAJUA SANA , JIFUNZE KWA WENGINE !! -----COACH MWL. JAPHET MASATU

ULIZA WATAALAMU ----COACH MWL. JAPHET MASATU

HABARI ZA PEMBE------Na SHEIKH YAHYA HUSSEIN

TOFAUTI KATI YA TAJIRI NA MASKINI KATIKA KIPIMO CHA MALIPO

 MATAJIRI huwa wanachagua kulipwa kwa matokeo ambayo wanazalisha na hilo linawapelekea kulipwa zaidi kadiri wanavyozalisha zaidi.
MASKINI huwa wanachagua kulipwa kwa muda wanaofanya kazi, na hilo linawapa ukomo kwenye kulipwa kwao kwa sababu muda una ukomo.
Acha sasa kutaka kulipwa kwa muda na anza kuchagua kulipwa kwa matokeo unayozalisha. Muda una ukomo, lakini matokeo hayana ukomo.
Ajira ni moja ya maeneo ambao unalipwa kwa muda, ndiyo maana unapaswa kuwa na biashara ya pembeni.