Tarehe za mshahara huwa zina vituko sana. Mtu anaondoka nyumbani hakuwa na mpango wa kununua chochote, lakini anarudi na furushi ka vitu kemkem alivyonunua, ambavyo anajishawishi ni muhimu. Ila umuhimu huo unakuwa umeonekana kwa sababu mtu anakuwa na fedha.
Lakini pesa zinapoisha, mtu anarudi kwenye maisha ya unyonge, maisha ya
uombaomba, maisha ya kukopa. Je umechoshwa na hali hiyo?
Kama jibu ni ndiyo basi KARIBU UJIUNGE NASI KATIKA DARASA LA SEMINA---ONLINE ( Google Classroom ) KILA SIKU KWA ADA YA Tshs 10000 kwa mwezi , ndani ya DARASA LA SEMINA utajifunza jinsi unavyoweza kutengeneza kipato cha pembeni ya mshahara wako na ukawa na maisha mazuri wakati wote na siyo tu tarehe za mishahara.
Kwa maelekezo Zaidi Wasiliana na Mwl. Japhet Masatu kwa namba zifuatazo : WhatsApp / Call / Meseji +255 716 924136 / + 255 755 400 128 .
Tengeneza maisha yenye msimamo sasa na acha kuishi mwisho wa mwezi kwa
mwisho wa mwezi.
UJINGA NI MZIGO.