Fanya maamuzi wakati unapokutana na hitaji la kufanya maamuzi.
Usijiambie wacha nifikiri nitaamua baadaye. Kama kitu ni muhimu fanya
maamuzi sasa, au hutayafanya kabisa. Maamuzi yanayosogezwa mbele ni
maamuzi ambayo yamekuwa hayafanywi.
Usiogope kukosea pale unapochagua kufanya maamuzi. Ni bora ufanye
maamuzi ukosee, kwa sababu utarekebisha makosa yako, kuliko kutokufanya
maamuzi kabisa.
Na
Mwl Japhet Masatu , Dar es salaam , Tanzania, Afrika Ya
Mashariki /+ 255 755 400 128 / + 255 716 924136(WhatsApp ). EMAIL:
japhetmasatu@gmail.com
BADILI FIKRA.FIKIRI TOFAUTI .BADILI MAISHA.JITAMBUE .JIFUNZE ELIMU YA SAIKOLOJIA,TEOLOJIA , FEDHA ,UTAMBUZI(SELF HELP EDUCATION),FALSAFA YA MAISHA,MAISHA NA MAFANIKIO,BIASHARA / UJASIRIAMALI.FURAHIA WASAA WAKO NA MAISHA NA MAFANIKIO BLOGU.THIS IS THE COMMUNITY CAPACITY BUILDING BLOG.ENJOY THE BLOG.STRETCH YOUR MIND. YOU CAN CHANGE YOUR LIFE FOR EVER. YOU CAN ACHIEVE EXCELLENCE.YOU CAN MAKE A DIFFERENCE. JIFUNZE ---ELIMIKA --CHUKUA HATUA---FANIKIWA
Sunday, September 2, 2018
USIKIMBIZANE NA VITU VYA KUPITA . WEWE KAZANA NA AMBAVYO SIYO VYA KUPITA.
Weka nguvu zako kwenye vitu ambavyo havitabadilika. Watu wengi huwa
wanakazana kukimbizana na vitu vinavyopita, fursa mpya, fasheni na
habari mpya ya mjini. Wewe kazana na vile ambavyo siyo vya kupita, na
biashara yako itakuwa imara. Achana na vitu ambavyo watu wanataka sasa,
kazana na vitu ambavyo watu wataendelea kuhitaji miaka kumi ijayo.
Na Mwl Japhet Masatu , Dar es salaam , Tanzania, Afrika Ya Mashariki /+ 255 755 400 128 / + 255 716 924136(WhatsApp ). EMAIL: japhetmasatu@gmail.com
Na Mwl Japhet Masatu , Dar es salaam , Tanzania, Afrika Ya Mashariki /+ 255 755 400 128 / + 255 716 924136(WhatsApp ). EMAIL: japhetmasatu@gmail.com
Saturday, August 18, 2018
Sunday, August 5, 2018
Sunday, July 29, 2018
Subscribe to:
Posts (Atom)