Huwa tunasema mtu fulani KAFANIKIWA KIMAISHA. ANA PESA NYINGI. Naam ! Ni kweli KAFANIKIWA , Lakini amefanya nini hadi KUPATA PESA HIZO ? JIBU : KATATUA MATATIZO YA WATU ! Naam , ndiyo UKWELI.
NJIA MOJA YA KUPATA PESA NI HII : Chochote unachotaka kufanya wa ajili ya kukuletea PESA , JIULIZE kama kinaweza kuwatatulia watu MATATIZO YAO ? Kama jibu ni ndiyo basi ANZA MARA MOJA , HAKIKA UTAFANIKIWA. LAKINI KAMA JIBU NI HAPANA , KIACHE MARA MOJA. UKIFANYA UTAANGUKA VIBAYA SANA .
Jenga tabia ya kuwa MTAFITI MZURI. Unapofanya UTAFITI utajua WATU wanahitji nini . HATUA YA KUJUA WATU WANATAKA NINI NA WANAHITJI NINI , NI HATUA KUBWA SANA YA KUKUFANYA UPATE PESA TU , PIA UTAPATA HESHIMA KUBWA KATIKA JAMII HIYO. KWANI UTAKUWA UMEWEZA KUTATUA SHIDA YAO.
Hivyo , unapoingia katika uwanja wa kutafuta PESA , Kabla hujaanza kufanya jambo unalotaka likuletee PESA, JIULIZE : "je , jambo hili litawatatulia watu tatizo lao ?" Kama jibu ni HAPANA , LIACHE MARA MOJA ! Huwezi kufanikiwa kwa kuuza sweta wakati wa joto. Ukipata HASARA utalalamika, : " MIE NINA MKOSI !"
KABLA YA KUANZA BIASHARA YOYOTE hata kama ni ndogo , FANYA UTAFITI WA KUTOSHA kama BIASHARA unayotaka kufanya itakuwa na manufaa , au laa ! UTAFITI WAKO WAKO UANGAZE HIVI :
1. Je, jambo ninalotaka kufanya litaleta faida ?
2.
No comments:
Post a Comment