Ndugu yangu, mdau wangu kama kuna kitu kimoja
unachopaswa kukikataa kwa mwaka 2019 basi ni kukiri umasikini. Usikiri
kwa kinywa chako kwamba wewe ni mtu masikini au mtu mnyonge, utaendelea
kubaki kwenye hali hiyo.
Hata kama huna fedha, usijiite masikini,
badala yake jiite tajiri mafunzoni. Tumia kauli chanya kuhusu fedha na
utajiri na hilo litakaribisha fedha kwako zaidi na zaidi.
No comments:
Post a Comment