Kamwe usikiri kwamba fedha ni ngumu
kupatikana au inabidi uumie ndiyo uipate. Jua fedha ni mabadilishano ya
thamani, angalia thamani unayoweza kuitoa kwa wengine na wao watakupa
fedha.
Ukikiri fedha ni ngumu, utakata tamaa na kushindwa kutoa thamani kwa wale wenye uhitaji.
Kiri fedha ni matokeo ya thamani na kazana kuzalisha thamani zaidi ili kupata fedha zaidi.
No comments:
Post a Comment