Maisha
ya sasa hivi naweza kusema yamekuwa ni kama ya kuishi kisiwani, watu wamekuwa
hawajali sana watu wengine kwa kiasi kikubwa, ukilinganisha na zamani. Kwa sasa
ukipata changamoto kubwa wewe jua hiyo ni changamoto yako tu, inabidi ukomae
nayo hadi utoke.
Kutokana
na hili kuendelea kudumu kunafanya maisha yanazidi kuendelea kuwa magumu sana
hadi watu wanakosa msaada ambao ungeweza kuwasaidia. Ubinafsi ambao wengi wanao
imekuwa ni kichocheo kikubwa sana cha ugumu wa maisha.
No comments:
Post a Comment