Ukipata MTAJI WA KUTOSHA jenga au tengeneza ukumbi kwa ajili ya kukodisha --- SHEREHE , MIKUTANO , SEMINA n.k. kila siku mambo hayo yapo na yanafanyika. Ni wewe kuchangamka !! Unagaharamia mwanzo tu baada ya hapo unabaki kuzivuna FEDHA siku nenda rudi.
Kwa ukumbi wa kawaida ni kati ya shs. 50,000 hadi 100,000 kwa siku. Kumbi kubwa { hasa za sherehe } ni laki tano hadi milioni kwa siku kwa maeneo ya mijini kama DAR--ES--SALAAM.
Ukiwa na KUMBI kama tatu hivi na zaidi PIGA mahesabu mwenyewe una shilingi ngapi ? FEDHA NYINGI SANA!! ACHA KUBWETEKA !!! CHANGAMKA SASA !!!
No comments:
Post a Comment