Weka nguvu zako kwenye vitu ambavyo havitabadilika. Watu wengi huwa
wanakazana kukimbizana na vitu vinavyopita, fursa mpya, fasheni na
habari mpya ya mjini. Wewe kazana na vile ambavyo siyo vya kupita, na
biashara yako itakuwa imara. Achana na vitu ambavyo watu wanataka sasa,
kazana na vitu ambavyo watu wataendelea kuhitaji miaka kumi ijayo.
Na
Mwl Japhet Masatu , Dar es salaam , Tanzania, Afrika Ya
Mashariki /+ 255 755 400 128 / + 255 716 924136(WhatsApp ). EMAIL:
japhetmasatu@gmail.com
Hakika ni kweli tupu !!
ReplyDelete